Unateseka mkuu ukiwa wapi Uislamu ni kama reli ya SGR ukiivuta wewe ndo unanguka tu, acha kuingilia uhuru wa watu.Ukitaka kucheka muulize alichoamini katika uislam then kichambue utacheka kufa... sasa hiyo Shahada tu ni ushahidi wa uongo. Kusema unashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na mudy ndie mtume wake..
Ushahidi ni lazima uone kwa macho yaani umeshihudia so shahada ni ushahidi wa uongo
ni jambo la kawaida kwa watu wa dini moja kuhamia dini nyingineKwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi.
Na hili limeanza baada ya kuenda Perth kuudhuria msiba wa ndugu yake, roho mtakatifu kamshukia na kujikuta kwenye mskiti wa eneo, (village mosque) na kulazimika kuomba mungu amuongoze kupata dini ya ukweli na haki.
Roho mtakatifu ikamsisitizia kwamba Uislamu ndo dini ya kweli katoa shahada na kua muislamu na sasa imeenda ku hijji kufanya umra nchini Saud Arabia, kuongeza shahadah yake.
My worry ni hi hapa, hawa watu wetu wanao amini sanaa wazungu kwa kila jambo, sasa wazungu wa meeanza kuamini Uislamu bàada ya kuona uislamu ndo njia peke ya ukweli dini zingine ni utapeli na ushogaa watafanya je?
View attachment 3185351
Hivi uislamu una roho mtakatifuUnateseka mkuu ukiwa wapi Uislamu ni kama reli ya SGR ukiivuta wewe ndo unanguka tu, acha kuingilia uhuru wa watu.
Hawa jamaa ni rahc sana kuwaoteshea majasusiKwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi.
Na hili limeanza baada ya kuenda Perth kuudhuria msiba wa ndugu yake, roho mtakatifu kamshukia na kujikuta kwenye mskiti wa eneo, (village mosque) na kulazimika kuomba mungu amuongoze kupata dini ya ukweli na haki.
Roho mtakatifu ikamsisitizia kwamba Uislamu ndo dini ya kweli katoa shahada na kua muislamu na sasa imeenda ku hijji kufanya umra nchini Saud Arabia, kuongeza shahadah yake.
My worry ni hi hapa, hawa watu wetu wanao amini sanaa wazungu kwa kila jambo, sasa wazungu wa meeanza kuamini Uislamu bàada ya kuona uislamu ndo njia peke ya ukweli dini zingine ni utapeli na ushogaa watafanya je?
View attachment 3185351
Uislam ni takataka. Dini ya magaidiTuna habarishana tu, ili tukumbushane kwamba binaadamu wote walizaliwa wakiwa waislamu isipo kua hubadilishwa dini yao ya asiri na wazazi wao, lakini kabla ya kiama wengi watalejea kwenye dini yao ya asili, kwa mjibu wa Qur"an tukufu.
"Utakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi. Na ukaona watu wanaingia katika dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi. Basi mtakase Mwenyezi Mungu kwa kumhimidi, na umuombe msamaha. Hakika Yeye ndiye anaye pokea toba."Huwa mnatafuta ukubwa fake
Sasa mtu kukengeuka nakujiunga na dini yenu ni habari ya kuleta Uzi.
Watu wanaenda hadi Kwa sangoma na Sangoma yupo kimya Haji kutamba
Hata mbowe aliitwa hivyo hivyoUislam ni takataka. Dini ya magaidi
Unaweza ukaleta ushahidi wa unachoongea?Keshaingiziwa za kutosha kwenye akaunti ili ahadae watu! Michezo yote inayochezwa na fedha za mafuta zisizo na kazi hapo middle East inafahamika. Let him go; Kristo analichunga kanisa lake.