JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Apunguze mapombe makali sasa na ulaji wa hovyo wa junk food, minyama choma, kitimoto, abadirishe mfumo wa maisha, mazoezi lazimaUgonjwa ni kitu kibaya. Ugonjwa unanyanyasa viba sana.
Mungu ampe uepesi