Baada ya Mume kufilisika Mke adai yuko tayari kuvunja Ndoa kuliko kurudi Kijijini

Baada ya Mume kufilisika Mke adai yuko tayari kuvunja Ndoa kuliko kurudi Kijijini

Huyo mpe tu, kama ana watoto wako wa4 na anataka Talaka mpe anachotaka.

Si lazima iwe ni pumbu, pengine ana objective zake nyingine ambazo mume ni kikwazo.

Wakati mwingine mwanamke huwa ana malengo ya maisha nje ya kuzaa, kulea na kutunza mume.

Mwanamke anayeomba talaka ni bora kuliko anayeishi kinafiki hapo ndani na wewe.
Yah, umeongea kwa usaahihi sana pengine ambao mara nyingi huu upande wanaume hautuutazami.
Ujue kama ambavyo ndoa kuna time hata kwetu wanaume tunaona inatubana sometimea, vile vile kwa wanawake pia , bahat mbaya sana hii situation inaweza kuwa inawakumba wenginsana, wanawake kujikuta wanatumikia maisha ya ndoa tu na ku sacrifise theit other life purposes.

Nimekuelewa sana kaka, umenitazamisha upande ambao sikua nimeufikiria.
Na hii inaweza kukufanya umkubalie taraka mtu kiroho safi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanaume tukumbuke msaada WA mke wako au mwanamke kwako ni mdogo sana, usijaribu kumuamini hao watu hubadilika kila wakati, hivo jiwekee akiba yako asiyoifahamu, jipende yeye mjali kwa kiasi , maana akipata tatizo ni lakwenu lakini ukipata tatizo ni lakwako
Wanaume na wasikie neno hili ambalo roho anena waziwazi🤣😂
 
Yah, umeongea kwa usaahihi sana pengine ambao mara nyingi huu upande wanaume hautuutazami.
Ujue kama ambavyo ndoa kuna time hata kwetu wanaume tunaona inatubana sometimea, vile vile kwa wanawake pia , bahat mbaya sana hii situation inaweza kuwa inawakumba wenginsana, wanawake kujikuta wanatumikia maisha ya ndoa tu na ku sacrifise theit other life purposes.

Nimekuelewa sana kaka, umenitazamisha upande ambao sikua nimeufikiria.
Na hii inaweza kukufanya umkubalie taraka mtu kiroho safi kabisa
Kabisa mkuu. Mawazo kuwa kuna mwanaume amekuzidi kupiga pumbu wala hata usiyape umuhimu. Kama ndo kipaumbele chake hilo ni tatizo lake.

Halafu, Wewe mwenyewe unahitaji kuexplore options za maisha uliyobakiza duniani. Itumie hiyo chance.
 
Kabisa mkuu. Mawazo kuwa kuna mwanaume amekuzidi kupiga pumbu wala hata usiyape umuhimu. Kama ndo kipaumbele chake hilo ni tatizo lake.

Halafu, Wewe mwenyewe unahitaji kuexplore options za maisha uliyobakiza duniani. Itumie hiyo chance.
Very true man
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanaume tukumbuke msaada WA mke wako au mwanamke kwako ni mdogo sana, usijaribu kumuamini hao watu hubadilika kila wakati, hivo jiwekee akiba yako asiyoifahamu, jipende yeye mjali kwa kiasi , maana akipata tatizo ni lakwenu lakini ukipata tatizo ni lakwako
Tusifanye mambo yawe general. Nafasi na umuhimu wa mke kwa mwanaume inatofautiana baina ya mwanaume na mwanaume kama ambavyo ilivyo nafasi ya mama kwa mtoto.

Kuna wanaume hapa ukimfuta mke kwenye maisha yake ni mafukara wa kutupwa yeye na ukoo wote. Akili ya utajiri imetoka kwa mwanamke.

Kama mama tu, Wakati mwingine mama yake akimuacha kwa jirani ili aende club kuna mwingine mama yake kaacha kila kitu kwa ajili yake.
 
Huyo mpe tu, kama ana watoto wako wa4 na anataka Talaka mpe anachotaka.

Si lazima iwe ni pumbu, pengine ana objective zake nyingine ambazo mume ni kikwazo.

Wakati mwingine mwanamke huwa ana malengo ya maisha nje ya kuzaa, kulea na kutunza mume.

Mwanamke anayeomba talaka ni bora kuliko anayeishi kinafiki hapo ndani na wewe.
Namshauri kwanza kabla ya kumpa taraka aende akawapime watoto DNA....

Unaweza kukuta anataka kwenda kuishi na Baba watoto wake ambao wewe unawaita wanao.......
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanawake mnapaswa kuelewa Mwanaume ni Mwanaume! Wewe Mwanamke huwezi kushindana naye.
 
Namshauri kwanza kabla ya kumpa taraka aende akawapime watoto DNA....

Unaweza kukuta anataka kwenda kuishi na Baba watoto wake ambao wewe unawaita wanao.......
Kweli mkuu. Lolote linawezekana.
 
Kweli mkuu. Lolote linawezekana.
Mimi kwa umri wangu na uzoefu wangu kwenye harakati za maisha ni vigumu sana kwa mwanamke mwenye watoto wanne kudai taraka katika hali ya kawaida......kuna namna kuwa hao watoto kuna baadhi sio WA kwake.......

Watu wengi tunaoa wake za watu pasi na kujua.....unakuta bwana anayempenda kwa muda huo haupo tayari kuoa.....anaamua kuolewa na wewe kwa kuwa ndio ushajitokeza.....

Lakini bado wapo kwenye mawasiliano na watoto wanazaa humo humo kwenye ndoa yako.....

Yule bwana akipata unafuu wa maisha na huku mkeo anaanza visa ili muachane na kama kuna mlivyo chuma mnagawana....kisha anarudi kwa Baba watoto wake......

HUWEZI KUJUA KUWA DUNIA INA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
 
Mimi kwa umri wangu na uzoefu wangu kwenye harakati za maisha ni vigumu sana kwa mwanamke mwenye watoto wanne kudai taraka katika hali ya kawaida......kuna namna kuwa hao watoto kuna baadhi sio WA kwake.......

Watu wengi tunaoa wake za watu pasi na kujua.....unakuta bwana anayempenda kwa muda huo haupo tayari kuoa.....anaamua kuolewa na wewe kwa kuwa ndio ushajitokeza.....

Lakini bado wapo kwenye mawasiliano na watoto wanazaa humo humo kwenye ndoa yako.....

Yule bwana akipata unafuu wa maisha na huku mkeo anaanza visa ili muachane na kama kuna mlivyo chuma mnagawana....kisha anarudi kwa Baba watoto wake......

HUWEZI KUJUA KUWA DUNIA INA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
Yes, kuna watu yamewakuta, ila na sisi wanaume tujifunze kulindana. Mwanaume mwenzako kakosea kuchagua mke, usimkomoe, unawekaje ndani jitu lililoweza kukuzalia likiwa limeolewa na mwanaume mwingine?
 
Back
Top Bottom