Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke kosa uzazi uone tabia za mumeo. Ubaya ubwela!Mwanaume firisika uone tabia ya mkeo iliyojificha....
Hatufukuzi mtu tunaoa mwingineMwanamke kosa uzazi uone tabia za mumeo. Ubaya ubwela!
Na sie tunarudi kijijiniHatufukuzi mtu tunaoa mwingine
Mdaiwa Tumaini Angumbwike (35) mkazi wa Makunguru ameiambia Mahakama ya Mwanzo mkoani Mbeya kuwa yuko tayari kutalakiana na mume wake kuliko kurudi kijijini.
Angumbwike ameiambia mahakama kuwa migogoro inayoendelea kati yake na mume wake, ilianza baada ya maisha yao kuwa magumu kutokana na biashara ya mume wake kuyumba, hivyo mume wake kumtaka warudi kijijini kuanza maisha mapya.
“Maisha niliyoyaishi kipindi hicho kijijini tena nirudi kuyaishi, hapana. Ndio maana nilitafuta mwanaume mjini kuondokana na maisha ya kijijini,” ameeleza.
Ameongeza kuwa “ Huyu mwanaume nampenda sana na migogoro iliyopo kati yetu ni mimi kugoma kurudi kijijini, hivyo nilimruhusu yeye arudi kijijini akajipange na mimi kuniacha mjini, lakini cha ajabu aliporejea alitafuta mke mwingine.”
My Take
Robert Heriel Mtibeli Wanaume endeleeni kuwapenda wake zenu Kwa moyo wa mshumaa ikibidi muwatoe out Kila wiki ila mkifirisika ndio mtajua hamjui 🤣🤣
😂😂
mukundiNdio maana kule hakuna Kodi nyumba bwerere na mashamba bwerere.
Wewe Kwa kuwa una duka la Jumla halifilisiki bakia huko huko mjini.
Cha kushangaza eti huyo.mwanamke hataki Mumewe aoe wa Kijijini.
Ndio maana Hadi nakufa sitokuja kufanya kitu kinaitwa kufunga ndoa ,never
View attachment 3191366
Maskini kaoa maskini. Kazi kweli kweliUnaoa Maskini unategemea nini kama sio hayo?
Maskini wengi ni wanafiki Sana.
Huyo aliolewa Kisa maisha magumu ya huko kwao kijijini.
Endeleeni kuoa Wanawake Maskini
Maskini kaoa maskini. Kazi kweli kweli
Sasa bila pesa wataishije😅😅.Yeye alitegemea arudi kijijini?
Hakujua lengo la mkewe tangu siku ya Kwanza
Huyu ChoiceVariable mjinga sana
Kijijini hakuhitaji pesa kuishi ila shamba tuu.Sasa bila pesa wataishije😅😅.
Ndo hatakiKijijini hakuhitaji pesa kuishi ila shamba tuu.
Ku date na broke women ni shida hawawezi kuwa na utu Wala Upendo Bora u date na wenye hela au waliotokea familia Bora.Tatizo mnaoa mangumbaru eti kwa kigezo cha wife materials
Sawa asalie huko huko kwani nani kamlazimisha? Si yeye ndio kagungua kesi baada ya mume wake Kuoa wa Kijijini au?Ndo hataki
Sasa bila pesa wataishije😅😅.
Ndio apewe talakaSi watafute wote
Mume kama kichwa wa familia katoa maelekezo waende kijijini, kiwiliwili kimegoma. Hapo hakuna Mke