Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kielectronic ya ya kitabu ???Ninayo.
Ndio maana mi silipi hilo deni lao na hawanipati ng'o.
Mpya kabisaaaa.Ya kielectronic ya ya kitabu ???
🤣🤣🤣🤣 Sinywi pombeTutakupata tu bwana, mdogo we unadhani hatukuoni hapo umekamata serengeti lite ee...!?[emoji4]
Issue siyo kupata passport, issue ni kwamba Data zako tayari wanazo na wanajua wakupate wapi. UmekwishaMpya kabisaaaa.
Kwani ukiwa na deni hupati passport?
Mbona mi nimeandika nafuga kuku Vikindu, Mkuranga. Naishi Kijichi DSM na barua ya serikali ya mtaa nimeambatanisha.Issue siyo kupata passport, issue ni kwamba Data zako tayari wanazo na wanajua wakupate wapi. Umekwisha
Humu viongozi wote wa chama na serikali wapo ni watumiaji wazuri sana wa JF...JF ni moja kati ya whistle blower social media kwa Tz.This is where the power of JF prevail.[emoji1491][emoji1477]
Najua wanasoma hii habari. Kwa nini wanakiuka mkataba. Mtu alisaini mkataba Wa kukatwa 8% wào wanatunga sheria ya kumkata 15 bila hata taarifa. Sheria irrestroctive
Kwani si tulitaka kulipa? Share mbinu basi nasi tujueNdio maana mi silipi hilo deni lao na hawanipati ng'o.
Mkuu, when it comes to money utatafutwa mpaka uvunguni.Mbona mi nimeandika nafuga kuku Vikindu, Mkuranga. Naishi Kijichi DSM na barua ya serikali ya mtaa nimeambatanisha.
Serikali yenyewe ipo wapi ya kumtafuta kila mdaiwa door to door ? Hii hii ya CCM?
Alafu kwenye zile form za mkataba hizo habari za rentation zilikuwepo?Mie yaani hata sijawaelewa bado.....wakitaka twende sawa inabidi na madeni yote ambayo serikali inadaiwa yaani yale sugu nayo yawe na value retention fee....vinginevyo huu bado ni unyonyaji na uonevu wa hali ya juu[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Hahaha njia......toka kwenye ajira. Ndio solution, otherwise huwezi kuwaepuka.Kwani si tulitaka kulipa? Share mbinu basi nasi tujue
Nimewahi fanya kazi miaka 2 sehemu fulani na sikuwa nalipa mkopo.Mkuu, when it comes to money utatafutwa mpaka uvunguni.
Kwanza ukishakuwa na NIDA tayati, data zako zako zinakuwa sehemu moja: LOAN BOARD, TIN, PASSPORT, SIM CARD, AJIRA ( PRIVATE, GOVT )
Hakuna mkopo usio na riba hiyo badala ya kuitwa riba ya mkopo kama mikopo ya biashara wanaita retention money yaani riba ya kutunza thamani ya fedhaHyo rentention fee inatuua, kwanini wasiweke utaratibu tujue Deni na mtu awe analipa kidogo kidogo.
Hakuwa mdhamini wako wakati unajaza forms?Guys, don't fools us around. Stop going around the bush.....tell us here in naked truth why salary slip shows 47+billion loan amount due? Why? Mnasema kinachoonekana kwenye loan statement
Ninayo, sijaajiriwa. Natumia TIN ya mama yangu na biashara zinasoma zake yeye. Wananipata wapi?