Baada ya Mzee Kikwete kusema yeye binafsi ndio aliteua yale majina 5 ya wagombea Urais 2015, nimekubaliana na demokrasia ya CHADEMA

Baada ya Mzee Kikwete kusema yeye binafsi ndio aliteua yale majina 5 ya wagombea Urais 2015, nimekubaliana na demokrasia ya CHADEMA

JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Leo naona umekiri mambo mengi kuwa CCM imejaa matapeli sn
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Na Jina lako lilikatwa ati na Jk
 
CCM watavuruganawee lakini linapokuja swala la maslahi ya chama na serikali wanakuwa pamoja.
Wapiga ramli wa mitandaoni ndo wanatesekaga ila wenye mamlaka wanajua kilichomo ndani ya circle ni nini.
 
.
shaffihdauda_-20210324-0001.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
JK amejibu watu wafitini Kimkakati...Kuna watu hata humu wamekua wanaanzsha nyuzi hasi juu yake...Hongera sana JK...yaani mtu umpike mwenyewe kwa jasho halafu mutupe bure...ukweli utabaki kuwa ukweli na ubaya utajitenga
JK amejua kuwazuga na wapambe mmezugika kisawasawa. JK mgombea wake anajulikana hata mtanzania mwenye umri wa miaka 15 sasa anamjua maana 2015 alikuwa na miaka 9.
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Uliona facial expression ya mama Janeth wewe wakati akiyasema hayo?
 
mzee wa msoga kama kawaida yake
magufuli wakati anazindua kitabu cha mkapa alisema mkapa ndiye aliyewezesha kufika apo alipo
leo kikwete anasema yake wakati wote wawili hawapo🤣🤣🤣🤣
kweli the dead tell no tales
 
Kuna watu hawajui how power works on Africa,Afrika Rais anayekuwepo Madarakani anakuwa na power sana na yeye ndio anachagua nani amrith.

Magufuli alivyo kuwa jeuri kama sio Kikwwte aliye muweka hapo basi asingempa Mama salma ubunge wa bwererer.
Hata hivyo Magufuli mwenyewe amisha lisema hill Mara nyingine kwamba Kikwete aliacha rafiko zake na akamchagua yeye.
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Kuna habari kuwa yalivyobaki matatu aliyeshinda alikuwa mwanamama toka znz
 
Back
Top Bottom