Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hii ndio sababu ya Chama cha Mapinduzi ccm kutapatapa.
Kiukweli ni kuwa ccm haina tena kitu cha kuwadanganya wananchi cha kusema inaeneza.
Siasa za hadaa na ahadi za uongo zimekuwa ni zile zile kwa miongo kadhaa.
Baada ya Nape Nauye na sera yake ya kujivua gamba ambayo kiasi fulani ilileta matokea kwenye utendaji wa serikali hakuna Katibu Mwenezi Mwingine aliyeleta Tangible results.
Hii inatokana na kuwa Makatibu wenezi waliofata waliamini kazi yao ni kuonge ongea tu na kufoka foka bila vitendo.
Matokeo yake Uongozi wa Juu wa Chama na Serikali hauoni Kazi hasa zinazofanywa na hao walioteuliwa.
Wakati mwengine wakiamini labda wamekoswa kuteua, wanatengua na kuteua tena.
Hata hivyo hali imezidi kuwa mbaya maana kila Twuzi wanajikuta wamekosea zaidi.
Kumwengua Paul Makonda na Kumleta Amos Makala linaweza kuwa tatizo kubwa zaidi kuliko alilokuwa nalo Paul Makonda.
Mungu ameondoa Mikono yake juu ya ccm. Inasubiri anguko tu.
Mtawatumbua Makatibu Enezi woote lakini mnawaonea tu. Nyakati zimefika zisomeni.
Zile itikadi za hadaa, propaganda wananchi wanazielewa hawadanganyiki tena.
Kiukweli ni kuwa ccm haina tena kitu cha kuwadanganya wananchi cha kusema inaeneza.
Siasa za hadaa na ahadi za uongo zimekuwa ni zile zile kwa miongo kadhaa.
Baada ya Nape Nauye na sera yake ya kujivua gamba ambayo kiasi fulani ilileta matokea kwenye utendaji wa serikali hakuna Katibu Mwenezi Mwingine aliyeleta Tangible results.
Hii inatokana na kuwa Makatibu wenezi waliofata waliamini kazi yao ni kuonge ongea tu na kufoka foka bila vitendo.
Matokeo yake Uongozi wa Juu wa Chama na Serikali hauoni Kazi hasa zinazofanywa na hao walioteuliwa.
Wakati mwengine wakiamini labda wamekoswa kuteua, wanatengua na kuteua tena.
Hata hivyo hali imezidi kuwa mbaya maana kila Twuzi wanajikuta wamekosea zaidi.
Kumwengua Paul Makonda na Kumleta Amos Makala linaweza kuwa tatizo kubwa zaidi kuliko alilokuwa nalo Paul Makonda.
Mungu ameondoa Mikono yake juu ya ccm. Inasubiri anguko tu.
Mtawatumbua Makatibu Enezi woote lakini mnawaonea tu. Nyakati zimefika zisomeni.
Zile itikadi za hadaa, propaganda wananchi wanazielewa hawadanganyiki tena.