Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
Yah Iftar TimeMkuu tafuta tende sasa muda umekaribia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah Iftar TimeMkuu tafuta tende sasa muda umekaribia!
Basi sawaHakuna cha mlima mzito wala nini. Kinachinbeba Nape ni kuwa alikuwa katika nyakati ambazo kulikuwa na matukio ya kusisimua.
Kuanzia kujivua gamba mpaka kipindi cha upinzani mkali kutoka CCM wenyewe. Upinzani wa Hayati Lowassa na Membe.
Hivyo alipata platform kubwa ya kubwabwaja na maneno yake ya shombo.
Mtu pekee aliyefanya vema sana kwa kutimiza majukumu yake kisawasawa ni Balozi Polepole.
Yaani alikuwa a State's man. Akizungumza anafanya hivyo kwa mamlaka, facts, nk.
Polepole aliyekua ananua viongozi wa upinzaniHakuna cha mlima mzito wala nini. Kinachinbeba Nape ni kuwa alikuwa katika nyakati ambazo kulikuwa na matukio ya kusisimua.
Kuanzia kujivua gamba mpaka kipindi cha upinzani mkali kutoka CCM wenyewe. Upinzani wa Hayati Lowassa na Membe.
Hivyo alipata platform kubwa ya kubwabwaja na maneno yake ya shombo.
Mtu pekee aliyefanya vema sana kwa kutimiza majukumu yake kisawasawa ni Balozi Polepole.
Yaani alikuwa a State's man. Akizungumza anafanya hivyo kwa mamlaka, facts, nk.
Ndivyo wengine mnavyomuona Mh Polepole kwenye mizani ya kisiasa na Uongozi.Polepole aliyekua ananua viongozi wa upinzani
Vyama vya upinzani vimepigwa marufuku kufanya shughuli yeyote ya kisiasa na wakawa wanashughulikiwa kisawa sawa mara kufunguliwa kesi wengine wapo mahabusu huku polepole akiwa mwenyewe ananasi sera
Polepole alistastawi wakati mfumo ukiwa wa kidikteta ni mtu wa hovyo kipindi cha nape kulikua na ushindani
Katika makatibu enezi wote hakuna wa hovyo kama polepole yaan yule alikua nabii wa dikteta magufuli ndo maana amefichwaNdivyo wengine mnavyomuona Mh Polepole kwenye mizani ya kisiasa na Uongozi.
Muulize kwa nini CCM walikuwa wanavaa nguo walifika kwenye eneo la mkutano na kizivua wakiondoka eneo la mkutano.Hajanituma bali tunafanya Tathmini ya Utendaji wenye matokeo.
Alitanguliza tumbo mbele hakujali kitilu chochoteKatika makatibu enezi wote hakuna wa hovyo kama polepole yaan yule alikua nabii wa dikteta magufuli ndo maana amefichwa
Alafu baada ya magufuli kufariki anakuja kutufundisha somo la uongoziAlitanguliza tumbo mbele hakujali kitilu chochote
Hahhaa yaani vichekesho sanaAlafu baada ya magufuli kufariki anakuja kutufundisha somo la uongozi
Unajiuliza kwanini hakumfundisha magufuli hilo Somo