Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.
Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
Kwa mujibu wa sheria au mujibu wa sheria za Kenya. Sheria za kwetu zinasemaje???