Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.
Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
Ikate Kote Kote na hiyo ndio maana halisi ya Sheria hizi za upande mmoja tuu ni utaratibu tu na wala si SheriaHapo najiuliza,ilitokea pia mwanamke alinikuta na watoto,tukawa tunawahudumia kwa pamoja,baada ya kuachana,na yeye ataendelea kuwajibika nao?
Shamba lenye mgogoro hiloUkioa single maza ambaye sio mjane,basi lolote likukute tu.
nimecheka mno😁 hivyo ukioa single maza maana umebeba na dhamana ya mwanae milele?Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na mwanaye kwa mahitaji yote, ikitokea changamoto, mkaamua kuachana basi yule mama ana haki ya kukuburuza mahakamani endapo utasitisha kutoa huduma na matunzo kwa yule your Non-biological kid(mtoto wa kufikia) uliyemkuta naye.
Hii imekaaje wataalam, mbona wanaume hatuna pa kukimbilia, kila kona sisi ni wa kubebeshwa mizigo kama punda!
Tanzania ukimuacha mume unatoa support kwa wanae😂😂😂Ni Kenya tu au na Tanzania? Imekaa poa sana hii🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 weeeh!! Tusingeachaaa. Kifo ndio kingetutenganisha.Tanzania ukimuacha mume unatoa support kwa wanae😂😂😂
Hii safi sana.nimecheka mno😁 hivyo ukioa single maza maana umebeba na dhamana ya mwanae milele?
vipi mirathi ikiendeshwa kwa sheria/ kanuni za kiisram!Mkuu Care Giver
Mosi, Mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ana Haki zote za msingi za kurithi mali ya Baba yake. Kabla ya mwaka 2011 watoto wa nje ya ndoa hawakuwa na Haki ya kurithi mali za baba yao.
Lakini sheria ya mtoto mwaka 2019 mtoto wa nje ya NDOA ana haki zote za kurithi mali ya mzazi wake. Miaka ya nyuma kesi zilikuwa zikiamuliwa kwa kufata sheria za kimila kwamba watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali.
1. Katiba ambayo inasema watu wote ni sawa.
2.sheria ya mtoto kifungu cha 5 ambacho kinakataza kubagua watoto
3.sheria ya mtoto kifungu cha 10 ambacho kinampa Haki ya ku-enjoy mali ya mzazi wake.
4.mikataba ya kimataifa kuhusu Haki za watoto ambazo Tanzania imeridhia.
Kiuhalisia katika sheria hakuna kitu kinaitwa “mtoto Haramu” sababu mtoto hapangi azaliwe wapi au asizaliwe wapi.