Baada ya Ndoa kuvunjika, sheria inasemaje kuhusu matunzo ya mtoto? Ni hiari au ni lazima Wazazi kutunza watoto?


Kwa mujibu wa sheria au mujibu wa sheria za Kenya. Sheria za kwetu zinasemaje???
 
Hapo najiuliza,ilitokea pia mwanamke alinikuta na watoto,tukawa tunawahudumia kwa pamoja,baada ya kuachana,na yeye ataendelea kuwajibika nao?
Ikate Kote Kote na hiyo ndio maana halisi ya Sheria hizi za upande mmoja tuu ni utaratibu tu na wala si Sheria
 
Mkuu Kwani Kuna shida gani kulea mtoto wa kidume mwenzio? Unaambiwa ukipenda Boga penda na ua lake.
 
nimecheka mno😁 hivyo ukioa single maza maana umebeba na dhamana ya mwanae milele?
 
vipi mirathi ikiendeshwa kwa sheria/ kanuni za kiisram!
Ambapo mtoto wa nje hatambuliki ,,,ni haramu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…