Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Wasipokwambia "kitanda hakizai haramu" niite Rais wa dunia nzima nimekaa pale.Hama mtaani kwangu naona mabinti wengi sana wanazalishwa sasa najiulizaga sana. Sheria inamlinda vipi huyu mtoto?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.