Agustino aisee ww ndio uliyemdangaya mwenzako aende kwa mganga sio
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sawa mkuu tuinjoi story yetu maisha yenyewe mafupi tunajifunza tunafurahi siku zinapita[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28], limenitoka tu mkuu.
Hapana sio yeye baada ya story kuisha utajua agustino nae msemea allishia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan mm kwenye maisha yangu huwa napenda story kama hizi hapo hata bila msos tunaweza kaa mpk usiku na pia mm n mpenzi wa movie sas movie zangu n za kichawi plus movie za kivitaDaa wee jamaa umenivunja mbavu.
Utadhani ulikiwa umeenda fatilia mshahara
Ndio huwa wanapenda tumia lugha hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kwa kujua kusimulia na kuandika kwa kiwango cha juu. Hii unaweza kuchapisha kitabu na ukauza. Au kama hutaki kuchapisha au inakuwia ngumu ongea na watu wa magazeti uwauzie.Dhumuni langu lilikuwa ni mambo ya biashara ndio maana nikaleta huku lakini story imemeza dhumuni sio mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli Mkuu wasomaji tukumbukane ,jamaa anapoweka kituBig up mkuu jooohs
Kastory katamu walaqhi'.
Halafu wapenzi wafuatiliaji tupendane tu, tukumbukane katika kutagiana.!
Haswa!!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sawa mkuu tuinjoi story yetu maisha yenyewe mafupi tunajifunza tunafurahi siku zinapita
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ifupishe iishe mkuu maana duu tunasubiri mpaka basi piga summary tu tunataka tujue hitimisho maana unaweza jikuta umeandika chandy au Bible bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka tu nitoe summary ya vitu vitabu
Damu zile zilisababishwa na nini
Mimi na yeye baada ya kwenda kuangalia mbegu tulikuta nini
Agustino nini kilimkuta na sasa yuko wapi
Kila kitu kitakuwa kwenye final episode
Nitaruka vitu vingi sana maana story imekuwa ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana mkuuHongera sana kwa kujua kusimulia na kuandika kwa kiwango cha juu. Hii unaweza kuchapisha kitabu na ukauza. Au kama hutaki kuchapisha au inakuwia ngumu ongea na watu wa magazeti uwauzie.