Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Ukifuatilia jicho la tatu huo ujasiri ulikuwa wa kimazingara,kumbuka baada ya kumtoa maiti akagundua kuwa ni nguruwe na agustino akaonekana so inaonekana ilikuwa mipango ya mganga iwe hivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiache kutuletea kisa chako baada ya mafanikio...pesa ya shetani ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia jicho la tatu huo ujasiri ulikuwa wa kimazingara,kumbuka baada ya kumtoa maiti akagundua kuwa ni nguruwe na agustino akaonekana so inaonekana ilikuwa mipango ya mganga iwe hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia mienendo ya mama mwenye nyumba, mfano ile siku Augustino anakojoa nje usiku halafu ghafla yule mama akaibuka nyuma yake ikabidi Augustino aende kulala hostel.

Msimuliaji anazungumzia namna yule mama alivyokua anachungulia uelekeo wa chumba cha kina Augustino, unadhani alikua anaangalia nini kule mlangoni. Pengine mama alifanya yale mazingaombwe ya nguruwe au mganga na mama wote walimchezea mleta mada.

Hii simulizi inafikirisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu eti kuna watu walitaka uifupishe kwenye post 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tukiacha masihara kama jamaa angefupisha story asingekunywa uji mjue,na ile njaa tungezungumza mengine


Angefupisha simu zisingezima chaji maana zilikaa muda mrefu bila kutumiwa


Angefupisha asingelala na maiti sikutatu,pengine angekaa nayo ndani dakika 2 tu..


Pengine angefupisha mama mwenyenyumba angelala mapema sana kuliko kutoa toa macho jamaa anavyotapatapa


Afu angefupisha sanaaaa asingepitia yote haya,pengine angekuwa zake olevel anajiandaa na necta ya form 4...


Ngoja nikavute tena nakuja[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema wana vipi kama mama mwenye nyumba na yule mganga ni mtu mmoja ila alikuwa anacheza side zote mbili kwa uweredi?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787]
 
Mkifanikiwa kuvipata na ukapata Moyo wa kuvipost usinisahau kwenye utukufu wa tag list mkuu
 
Ha ha umevurugwa sio bure, angalia usije kulete mauza uza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…