[emoji1][emoji1][emoji1]Augustino babe popote ulipo wewe ni mwanaume [emoji8][emoji8][emoji8]
acha kujipa promo kijana ..embu tumpe heshima yake augustino kama ni marehemu au yu hai, mana mimi na wewe hatujui mwisho wa simulizi ya jooo
Hii story ikiisha nina zawadi yako kwa haya maupendo unayonionyesha.
acha kujipa promo kijana ..embu tumpe heshima yake augustino kama ni marehemu au yu hai, mana mimi na wewe hatujui mwisho wa simulizi ya jooo
Sent using Jamii Forums mobile app
🤗Naingoja kwa hamuHii story ikiisha nina zawadi yako kwa haya maupendo unayonionyesha.
😃 Mimi mdhaifu sana kwa kweli.🤗Naingoja kwa hamu
EenheeOooky Inaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaha nimetekenyekaaaaOooky Inaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂Oooky Inaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo yapo wazee. Kuna nyumba huku kwetu huwa haifahamiki mmiliki wake. Kila siku usiku watu hutoa vilio wakiwa ndani ya nyumba hiyo, ukiwa kwa nje unaona kama watu wanatembea mle ndani kupitia pazia zile za transparency. Nyumba ni kubwa haina umeme kwa hiyo mwanga unaotumika mule ni kama mwanga wa mshumaa. Eneo hilo linaogopeka sana na ukipita wakati wa mchana unakuta pako kimya kwelikweli, kuanzia usiku saa tano huwa mwanga wa mshumaa unawashwa, halafu sauti za vilio zinaanza kusikika, ni wake kwa waume huku mipishano ikiendelea mule ndani. Wanasema mwenye nyumba alishafariki miaka mingi na sijui hakuwa na familia au laa. Leo nitajiaribu kupapiga picha au kuchukua video
[emoji16][emoji16][emoji16]au tuseme rise and fall of agustino empire
Eiimen... Kivuruge uwe mpole 😂😃 Mimi mdhaifu sana kwa kweli.
Wee subiri tu. Si kwa maupendo haya unionyeshayo.
Aisee umetokea kuwa na mahaba na agustino, nini kinaweza kuwaunganisha?Augustino babe popote ulipo wewe ni mwanaume [emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama kuna njukuti hapo hata agustino hapawezi[emoji119][emoji119][emoji3]Sisi huku mtaani mkuu, Kuna nyumba IPO kama hyo. Kila mpangaji anaekuja hachukui hata week lazima akimbie yaani.. usiku kuna viboko utapigwa mpaka ushangae na sauti za watu wakilia, haya mambo ukimwambia mtu anaweza kubisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama kuna njukuti hapo hata agustino hapawezi[emoji119][emoji119][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app