Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Sisi huku mtaani mkuu, Kuna nyumba IPO kama hyo. Kila mpangaji anaekuja hachukui hata week lazima akimbie yaani.. usiku kuna viboko utapigwa mpaka ushangae na sauti za watu wakilia, haya mambo ukimwambia mtu anaweza kubisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama kuna njukuti hapo hata agustino hapawezi[emoji119][emoji119][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…