Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

shenziy.[emoji23][emoji23][emoji23] si wanapenda kukata ..wakate sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi mkuu, yani we jaribu kusogeasogea usiogope, ukikaribia sema maneno haya, mizimu ya kwetu naomba mnilinde halafu rekodi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Eneo jirani tu linatisha

Ila mkuu ujue umeanzisha thread ndani ya thread, achilia mbali kufatilia story ya jamaa sasa hivi tunafatilia na hii issue yako kwahiyo jitahidi sana kukamilisha huu mpango
 
angalia tusije tukakupoteza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lilikukuta maeneo kama hayo

Ndio utajua kwa nini kigezo cha kwanza cha kuwa askari jeshi
ni kutumua mbio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu tusikuponze msije mkachezea makofi bure...

Afu jamaa wanalengaga sehemu moja tu wakianza kupiga hawabadilishi sehemu nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sema badala ya kupiga picha,wew record voice yan sogea hadi dirishani alafu sema "hilooooo nimewaonaa" afu uje utuambie walijibuje...

Nakuja ngoja nikavute tena[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Nimeghairi mkuu. Siendi tena. Tuendelee na uzi wa mr jooh.. maana jamaa anaweza sana na ni jasiri kwelikweli sio mitikasi hiyo.
 
Nami niliiyona pia.. Inaweza kuwa inahusiana na nini? Ufafanuzi Tafadhali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oya wana kimya mpaka saivi...

vipi kama joooh katukataa mazima afu kaenda kuanzisha uzi mwingine kwa wajasiliamali huko anafundisha watu kulima matikiti[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Nakuja ngoja nikavute tena[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…