Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Sio hivyo mkuu kuhusu muda wa kuandika sio kigezo maana nikianza kuandika naipiga yote chap maiweka hapo sio kwamba kukaa kwangu kimya eti nakaa kuandika nondoo[emoji23][emoji23]

Mimi nilikuwa nadhani umeunganisha doti ukaona mahala hapako sawa

Pia ukiangalia nature ya story yenyewe kamaa umafatilia toka mwanzo hata kama nikutunga sio rahisi hivyo

Fatilia hapo juu kuna episode mbili moja ndefu nyingine fupi kuliko zote uangalie tofauti wa muda nilioziachia utajua mwenyewe

Kingine nakuwa mvivu maana unaachia episode unaona ina like 2 sasa najua watu wengi hawajapita kusoma Kwann niangaike kuandika nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali nimeibua jambo!!

Jamani tieni likes za kumwaga ili jamaa alete story mapema mapema...

So kipande chengine sangapi mkuu..??
 
Mkuu wengine tunasoma afu tunaacha kulike siyo kuwa kitu n kibaya ila n mazoea tu. Mkuu tunaomba umalizie
Sio hivyo mkuu kuhusu muda wa kuandika sio kigezo maana nikianza kuandika naipiga yote chap maiweka hapo sio kwamba kukaa kwangu kimya eti nakaa kuandika nondoo[emoji23][emoji23]

Mimi nilikuwa nadhani umeunganisha doti ukaona mahala hapako sawa

Pia ukiangalia nature ya story yenyewe kamaa umafatilia toka mwanzo hata kama nikutunga sio rahisi hivyo

Fatilia hapo juu kuna episode mbili moja ndefu nyingine fupi kuliko zote uangalie tofauti wa muda nilioziachia utajua mwenyewe

Kingine nakuwa mvivu maana unaachia episode unaona ina like 2 sasa najua watu wengi hawajapita kusoma Kwann niangaike kuandika nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio hivyo mkuu kuhusu muda wa kuandika sio kigezo maana nikianza kuandika naipiga yote chap maiweka hapo sio kwamba kukaa kwangu kimya eti nakaa kuandika nondoo[emoji23][emoji23]

Mimi nilikuwa nadhani umeunganisha doti ukaona mahala hapako sawa

Pia ukiangalia nature ya story yenyewe kamaa umafatilia toka mwanzo hata kama nikutunga sio rahisi hivyo

Fatilia hapo juu kuna episode mbili moja ndefu nyingine fupi kuliko zote uangalie tofauti wa muda nilioziachia utajua mwenyewe

Kingine nakuwa mvivu maana unaachia episode unaona ina like 2 sasa najua watu wengi hawajapita kusoma Kwann niangaike kuandika nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia views sio likes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe shida ni like? Story tumeipenda wengi...sema huwa hatulike...tunalike kimoyoni ukweli ulweli....shusha episodi ingine asee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu tatizo lugha hamjanielewa

Mimi nimesema wakati mwingine natumia like kama kipimo cha watu waliosoma jamvi nikilitandika sio kwamba na lilia like hapana

Ndio nikatoa mfano hai nimetipia uzi unalike mbili naona kama bado watu hawajasoma wakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu tatizo lugha hamjanielewa

Mimi nimesema wakati mwingine natumia like kama kipimo cha watu waliosoma jamvi nikilitandika sio kwamba na lilia like hapana

Ndio nikatoa mfano hai nimetipia uzi unalike mbili naona kama bado watu hawajasoma wakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uzi huu unaviewers laki tatu huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio hivyo mkuu kuhusu muda wa kuandika sio kigezo maana nikianza kuandika naipiga yote chap maiweka hapo sio kwamba kukaa kwangu kimya eti nakaa kuandika nondoo[emoji23][emoji23]

Mimi nilikuwa nadhani umeunganisha doti ukaona mahala hapako sawa

Pia ukiangalia nature ya story yenyewe kamaa umafatilia toka mwanzo hata kama nikutunga sio rahisi hivyo

Fatilia hapo juu kuna episode mbili moja ndefu nyingine fupi kuliko zote uangalie tofauti wa muda nilioziachia utajua mwenyewe

Kingine nakuwa mvivu maana unaachia episode unaona ina like 2 sasa najua watu wengi hawajapita kusoma Kwann niangaike kuandika nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Stori hiii ni ya mafundisho mm sija like kwa sababu inatisha kungekua na option ya kutishika ninge click mwamba ww shusha vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom