Grealish10
Senior Member
- Mar 25, 2020
- 104
- 294
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaha unampoteza mwenzio we ngoja yamkute Kama yaliyomkuta joow, unapigaa pichaa Maraaa paaaaap unajikuta ndani ghafla unasikia kicheko kikubwa nyuma ya mlango speed yakeee apooo uangalii nyumaawewe piga picha na chukua video kwa siri hata kwa mbali usiku hayo mauza uza yakianza , halafu tuma huku mkuu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee umetokea kuwa na mahaba na agustino, nini kinaweza kuwaunganisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Demu wake alikua ni ganja [emoji23][emoji23]. Unataka aweke na ka story kakunyanduanaKinachonisikitisha mpaka picha inaisha Augustino hana demu.
Nilkua nme upoteza u uzi ..nime tumia dk 20 kuutafta adi nime upata[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Demu wake alikua ni ganja [emoji23][emoji23]. Unataka aweke na ka story kakunyanduana
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu pesa utakuwa nayo lakini nafsi itakusuta kila uchao kwa kuuwa mzazi wako ,hata hizo pesa huwezi zifurahia kabisaHapana mkuu kama ulinisoma vizuri yule jamaa aliyetupeleka kwa mganga nilisema alikuwa na pesa za kula hakuwa na utajiri wa kushangaza
Ile kafara ingekamilika ingekuwa ni majuto kwa upande wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha usipige picha yatakuja kukutokea mambo mabaya, maelezo tu yanatosha USIPIGE PICHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo moja hapa Dar ilitajwa kuishi bure,,maji umeme na unalipwa😃na mwenye nyumba umwangalizie, vipi una ujasiri upelekwe au umpeleke ?Au una mkoki tu apige picha.Acha uoga wa kitaahira wewe...
iihiii!🤗Naingoja kwa hamu
Aisee.Pia kuna mdada mmoja juzi niliona kwa millard Ayo kakatwa miguu yote kuanzia mapajani.
Hakuwa na tatizo lolote ila alipoenda mjini kusaka maisha hakumaliza hata wiki miguu ikaanza kuoza tatizo lilipo kuwa kubwa ikabidi mama yake aendee town
Wakati amefika hospital akataka kumpiga picha miguu ile picha zikagoma akijaribu usoni inakubali
Walimpeleka moshi sijui ndio kcmc nadhani kuna ndugu yake akawa anamwabia yule mama wewe utakuwa hujui kupiga picha
Lakini alivyoenda kujaribu mambo yakawa ni yale yale
Jamani binti wa miaka 22
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo yapo wazee. Kuna nyumba huku kwetu huwa haifahamiki mmiliki wake. Kila siku usiku watu hutoa vilio wakiwa ndani ya nyumba hiyo, ukiwa kwa nje unaona kama watu wanatembea mle ndani kupitia pazia zile za transparency. Nyumba ni kubwa haina umeme kwa hiyo mwanga unaotumika mule ni kama mwanga wa mshumaa. Eneo hilo linaogopeka sana na ukipita wakati wa mchana unakuta pako kimya kwelikweli, kuanzia usiku saa tano huwa mwanga wa mshumaa unawashwa, halafu sauti za vilio zinaanza kusikika, ni wake kwa waume huku mipishano ikiendelea mule ndani. Wanasema mwenye nyumba alishafariki miaka mingi na sijui hakuwa na familia au laa. Leo nitajiaribu kupapiga picha au kuchukua video
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo umeamua kumuhurumia?Kinachonisikitisha mpaka picha inaisha Augustino hana demu.
Tukagombane home thread, acha nipate zawadi kwanzaNaangalia tu hapa ila soon nakinukisha na story itaishia hapo hapo 😀