Hata Kama ameongoza kura za kamati kuu...lkn wenye kauri ya mwisho ni wajumbe wa mkutano mkuu...upo??
Pandikizi lenu halitoboi hata kwa dawa
Wewe fuatilia habari za Membe na Zitto huku kwetu cdm yetu haikuhusu.Ni ajabu sana kamati kuu ya CHADEMA inaamini kuwa Nyalandu ni bora kuliko Lissu
Sasa kama kamati kuu yenyewe haiamini kuwa Lissu hastahili kuwa namba moja kwenye urais, kwa nini sisi wananchi tuamini kuwa yeye anafaa kuwa Rais?
Hizi kura za kamati kuu zimetuma meseji kwa wananchi na kwa Wanachadema wote kuwa Uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu hafai kuwa rais licha ya kuwa ameonekana kuwa ni mwenye kutajwa tajwa zaidi na wananchi.
Nimemshangaa sana Tindo. Anaingizwa choo cha kike na hawa wahuni tu
Hilo ni jasusi lililo tumwa na kina Zitto na Membe ili kuivuruga cdm.Mtaweweseka sana lkn Lissu ndo mgombea
Huelewi kitu unaongelea ushabiki, Lissu asipopitishwa kugombea uraisi na CDM utafanyaje?, Watu wapo kimaslahi zaidi nyie mnaleta ushabiki wa Simba na Yanga.
Cdm haikuwa na tatizo la wapiga kura, usitake kumpa sifa asizostahili. Watu tulijiandikisha kwa hasira tukijua Lowasa angekuwa mgombea wa ccm, ila viongozi wa Cdm wakampa Lowassa nafasi baada ya kupigwa chini huko ccm. Kama Lowassa ndio alileta kura 6m+ akiwa na miezi miwili, sema alileta viti vingapi vya ubunge na udiwani akiwa na miaka miwili? Au hata alifungua matawi mangapi ya cdm?
Hizo kura 6m angezipeleka TLP tungekuelewa. Ni kweli safari hii cdm wanaweza wasipate hata jimbo moja, ila sio kwakuwa haina wapiga kura, bali ni kwakuwa Magufuli kwa kutumia madaraka yake vibaya, ataagizwa watoa rushwa wa ccm kutangazwa washindi na tume isiyo huru ya uchaguzi.
Kaeni na Membe wenu, habari za Lissu tuwachieni wenyewe wana cdm.Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1
Unamwamini je mkeo wakati kura ni Siri?
Kwani hujui mkeo anachepuka na jamaa wa Kanisani kwenu? .. basi usimwamini hata kwenye Kura.
ujio wa Lissu naona watu wame panick kinyama yaani.
juice ya pilipili kichaa yaja, kaeni tu mkao wa kukimbilia Comoro (sijui kwa mtumbwi au kupiga mbizi mtajaza wenyewe).
habari ni.... Lissu anatinga timu Jumatatu ijayo na ndiye mgombea urais wa coalition ya upinzani kupitia chama chake cha Chadema.
habari ndiyo hiyo!
Mkuu J5 sio mbali ndo utajua namaanisha ..sitaki ujue mm ni nani lkn chukua hii...Lissu ndo mgombea kwa 99.9%
Mimi tangu nilivyoisikia ike clip lema ana msinitch Lissu nikawa sina imani na watu wa chadema.
hizi habari za uongozi wa Chadema kutokumtaka Lissu zimezushwa na Chakubanga wa hapa chamani kwetu Lumumba.
naona kuna wanaChadema wanataka kuamini uzushi wa Chaku!
Misile ametuangusha sanaMsameheni mkuu ni kuonyesha kuwa yupo makini na chama chake, tofauti na yule Missile of the Nation
Weee sherekea tu lkn 29 ndo utajiona ulikuwa unashabikia hewa
Sasa hivi wanatamani ajiunge CCMAisee yaani huwezi kuamini kuwa ni Lissu huyu huyu walio kuwa wanasema ni msaliti wa uzalendo.
Lissu asubiri,atakuwa waziri mkuu kwenye serikali ya Razaro Nyarandu kipenzi cha Mbowe.
Nime screen shot hii msg yako wiki ijayo alhamisi nitakukumbusha, usije kukimbia kivuli chako. Kuna mengi msiyoyajua ingawa mmejawa na ushabiki mwingi. Watu Wana mikakati ya fedha sio ushabiki wa kufurahisha watu.
Mkuu tujitahidi kuwa na uhalisia wa mambo yanayotokea na maoni yetu, Lowwasa amesaidia sana katika kuongeza kura uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua alifanya nini ujaguzi uliopita , Basi 2020, October itatupa majawabu.