Baada ya Oktoba 25, Mbowe atang'olewa uenyekiti wa CHADEMA?

Huyu jamaa ni ccm leo anaongelea chadema! Ama kweli kutumika kama -ndomu ni shida.

Kwa taarifa,Mh.Mbowe atakuwa waziri mkuu wakati huo so itabidi amkabidhi mwingine kijiti cha uenyekuti.
 
makamanda wa ukweli hawarushi ngumi gizani...bila shaka wewe ni nyumbu. makamanda wa kweli wanajibu hoja kwa hoja sio kuhorojoka na matusi.

Hapo kuna hoja gani ya kujibu wee msee...wewe ccm cdm inakuhusu nn!
 
Huyu jamaa ni ccm leo anaongelea chadema! Ama kweli kutumika kama -ndomu ni shida.

Kwa taarifa,Mh.Mbowe atakuwa waziri mkuu wakati huo so itabidi amkabidhi mwingine kijiti cha uenyekuti.

Jitahidi kusoma kilichoandikwa na kukielewa kabla ya kuja kujibu thread.
 
Chakaza wewe ni mkongwe humu sitegemei ujibu kirahisirahisi namna hii.

Haya ndiyo yanayowakumba Chadema na Ukawa kwa sasa.Yalishatabiriwa!

Kwa sababu unani shangaza, hivi tuwe wakweli kabisa, kwa misimamo ya Mbowe jee sio mwiba kwa utawala wa ccm? Kwa hiyo jambo la kuondolewa madarakani lingekuwa heri sana kwao na nina hakika hayo ndio matamanio yao, na wewe umeleta story hii kwa matamaniyo hayo na sii uhalisia. Mbona wafuatiliaji wa ndani wa chama chenyewe hawalijui hilo uliloamka nalo?
 
Last edited by a moderator:
Hilo linajulikana ila hafai tena

Vipi unashaurije! Akiondolewa Mbowe tumrudishe Zitto? Na jee atakuja na ACT yake? (Maana ile ni personal property yake ndio maana nasikia hata picha ya mgombea haiwekwi inawekwa ya CEO)
 
Hangaika na nani atakuwa mwenyekiti Wa Ccm baada ya uchaguzi, Kama ccm itakuwepo Tena kwenye duru za siasa hapa Tanzania au itakua ahera! Freeman Mbowe, kamanda Wa anga, Ardhi na Baharini; atatunukiwa nishani ya "Mwanasiasa kijana JASIRI Wa karne" na kupewa heshima ya Mwenyekiti Wa maisha hâta Kama huko tuendako atakabidhi kijiti kwa kamanda mwingine.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…