Baada ya Oktoba 25, Mbowe atang'olewa uenyekiti wa CHADEMA?

Baada ya Oktoba 25, Mbowe atang'olewa uenyekiti wa CHADEMA?

Kwa sababu unani shangaza, hivi tuwe wakweli kabisa, kwa misimamo ya Mbowe jee sio mwiba kwa utawala wa ccm? Kwa hiyo jambo la kuondolewa madarakani lingekuwa heri sana kwao na nina hakika hayo ndio matamanio yao, na wewe umeleta story hii kwa matamaniyo hayo na sii uhalisia. Mbona wafuatiliaji wa ndani wa chama chenyewe hawalijui hilo uliloamka nalo?

Nadhani unamaanisha misimamo ya Slaa ndio ilikuwa mwiba kwa ccm na sasa ni mwiba kwa chadema pia.

Una mfano wowote wa msimamo wa mbowe zaidi ya kuita wenzake wasaliti?

Nakumbuka wakati tunaulizia Dr Slaa yuko wapi mlikanusha sana juu ya kujiuzulu kwake lakini baadae aliwaumbua sana,unapokataa kwamba mgogoro huu haupo unapata habari kwa nani?usije kuta unaposema 'ndani ya chama' unaongelea Mbowe,Mtei,Mnyika na lissu.

kama unaamini chama chako kimekuwa basi jibidiishe kuutafuta ukweli ili uwe huru.

Unadhani wanachama ni wajinga au wavumilivu kwa ujinga uliofanywa na wakubwa chamani?

Maamuzi yao yamegusa na kuathiri maslahi ya watia nia ndani ya chadema waliojiandaa kwa muda mrefu.

Sasa wewe endelea kukanusha lakini utakuja kuyakumbuka maneno yangu baada ya oktoba 25 wakati mimi nitakuwa nikiimbaa ''TINGA TINGA LIKO UWANJANI''
 
Nadhani unamaanisha misimamo ya Slaa ndio ilikuwa mwiba kwa ccm na sasa ni mwiba kwa chadema pia.

Una mfano wowote wa msimamo wa mbowe zaidi ya kuita wenzake wasaliti?

Nakumbuka wakati tunaulizia Dr Slaa yuko wapi mlikanusha sana juu ya kujiuzulu kwake lakini baadae aliwaumbua sana,unapokataa kwamba mgogoro huu haupo unapata habari kwa nani?usije kuta unaposema 'ndani ya chama' unaongelea Mbowe,Mtei,Mnyika na lissu.

kama unaamini chama chako kimekuwa basi jibidiishe kuutafuta ukweli ili uwe huru.

Unadhani wanachama ni wajinga au wavumilivu kwa ujinga uliofanywa na wakubwa chamani?

Maamuzi yao yamegusa na kuathiri maslahi ya watia nia ndani ya chadema waliojiandaa kwa muda mrefu.

Sasa wewe endelea kukanusha lakini utakuja kuyakumbuka maneno yangu baada ya oktoba 25 wakati mimi nitakuwa nikiimbaa ''TINGA TINGA LIKO UWANJANI''

Ngoja nikuache kwa sasa niangalie nyimbo za utukufu kwa Mungu siku hii ya kuabudu. Tutakutana baadae Mtani, nadhani sisi si maadui bali tunatofautiana itikadi tuu. Na hata matunda ya serikali ya Ukawa tutayala wote.
Good day my friend jingalao
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Oktoba 25 wanachama wa chadema asili wanajipanga kukirudisha chama chao kutoka mikono ya familia ya Mtei na kukifanya kuwa taasisi ya umma kwa kuwa inatumia ruzuku za serikali.


Ni wazi Mbowe anaonekana kujutia uamuzi wake wa kubadili gear angani,uamuzi ambao umeigharimu chadema kwa kumpoteza shujaa wa ujenzi wa upinzani wa kweli Tanzania ndugu Dr Slaa.

Ni ukweli usiojificha kwa wanachama wa chadema asili wametaharuki na kushangaa chama chao kutekwa na wahuni au makapi yaliyoisumbua ccm hadi Kikatio cha Mangula kilipotumika.

Wanachama wa chadema asilia wamelazimika kuirudisha ccm madarakani kwa kosa kubwa la kiitifaki lililoamuliwa na familia moja tu ndani ya chama.

Wanachama wa chadema asilia ni wazi wanatafakari hasa baada ya ushindi wa kishindo wa Magufuli ni kwa vipi wanaweza kukinusuru chama chao kisiporomoke kama NCCR,CUF na TLP.

Wanachadema asilia wanatafuta mwenyekiti kwani haiwezekani Wangwe,Arfi,Zitto,Kitila,Mwigamba na Slaa wakawa na matatizo...tatizo ni mwenyekiti na akiendelea kuchekewa chama kitafutika kwenye ramani ya kisiasa.

Wanachadema asilia wanatambua wanayo haki ya kisheria ya kukiondoa chama mikononi mwa familia ya mtei.

Wanachadema asilia wanataka kuona mfumo wa uteuzi wa wagombea ndani ya chama unakuwa wazi na kufuata taratibu za chama.

Wanachadema asilia wanataka kuona mgao wa ruzuku unakuwa fairly distributed na sio kuwafikia baadhi ya wanaojidai makamanda kutoka kaskazini.

Ni katibu aliyeondolewa na Mbowe ndio aliyetuelekeza kwenda mitaani na vijijini ili kukikuza chama na aliahidi kutupima kwa hilo.leo hii Mbowe amemfanya katibu ni mvivu.

Wanachadema asilia hawajapewa fursa rasmi ya kumpitisha lowassa kuwa mgombea urais kupitia chadema.hili limefanyika kiujanjaujanja kwa kuwa Mwenyekiti anajua wanachama wangelipinga kwani mgombea huyu hana sifa za kikamanda wala hajui misingi ya kuwa kamanda wa wananchi wanyonge.

Wanachadema asilia hawakupewa fursa ya kuamua au kujua jinsi gani mchakato wa kuachiana majimbo utakavyokuwa.sana sana mchakato ulisikika kwenye vyombo vya habari tu.

Wanachadema asilia walijitoa kwa hali,mali na uhai wao kwa kutarajia Tanzania mpya inazaliwa ikiwa haina ufisadi,uongo,udini,ukanda,ufamilia,ukabaila na usaliti badala yake Mwenyekiti na timu ya wachache imetuletea mamluki wanaokichafua chama na kukiacha kikiwa vipande vipande.

Kwa heshima ya Wangwe,Zitto,Slaa,Arfi,Kitila,Kafulila na wengine ni lazima Mwenyekiti uondolewe kwani wewe ndio tatizo.Mwenyekiti umebebwa sana na think tanks ndani ya Chadema na malipo yao yamekuwa ni kuwafukuza tu.

Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti Chadema ni oktoba 25.


SENT AS RECEIVED!

M.A.T.A.K.O. wewe. nenda K.A.N.Y.E.
 
Ngoja nikuache kwa sasa niangalie nyimbo za utukufu kwa Mungu siku hii ya kuabudu. Tutakutana baadae Mtani, nadhani sisi si maadui bali tunatofautiana itikadi tuu. Na hata matunda ya serikali ya Ukawa tutayala wote.
Good day my friend jingalao

Chakaza hongera kwa kuwa muungwana.
Hoja hujibiwa kwa hoja na wala sio vijembe waambie watoto wajifunze kutoka kwako.

Hii ni....

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.
 
Last edited by a moderator:
Chakaza hongera kwa kuwa muungwana.
Hoja hujibiwa kwa hoja na wala sio vijembe waambie watoto wajifunze kutoka kwako.

Hii ni....

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.

Ubarikiwe sana Mwanachadema mpya Nov 2015
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mwanachadema mwenye uwezo wa kumuondoa mbowe wakati chadema ni mali ya familia yao,kama ukiona huridhiki ondoka wewe lkn ndoto ya kumuondoa mbowe ifute kabisa ili uendelee kuwa salama
 
Hakuna mwanachadema mwenye uwezo wa kumuondoa mbowe wakati chadema ni mali ya familia yao,kama ukiona huridhiki ondoka wewe lkn ndoto ya kumuondoa mbowe ifute kabisa ili uendelee kuwa salama

Kumbe hata Makani ni familia hiyo hiyo? Nilikuwa sijui.
 
Kazi mojawapo ya CCM ni kusaidia upinzani uwe imara kwa ustawi wa nchi.

Ni CCM ndio iliyoamua kukubali kurejesha mfumo wa vyama vingi ingawa asilimia 80 ya watanzania waliukataa pengine kwa kujua kuna usanii na utapeli mkubwa ndani ya mfumo huu.

Isitoshe mimi inaweza kunihusu kama mtanzania mlipa kodi ambayo sehemu ya kodi hiyo inaenda kuendesha chama hicho ambacho sasa kimegeuzwa saccoss ya familia.
Mkuu kwani Osama hakusomeshwa na wamarekani?vipi jamaa wa Escrow aliingia nchini kupitia uchochoroni?hatujamruhusu?vipi mabehewa na kivuko cha magufuli hatukutoa pesa kwa hiari yetu
Kicking out ccm is our high priority today
 
Hakuna mwanachadema mwenye uwezo wa kumuondoa mbowe wakati chadema ni mali ya familia yao,kama ukiona huridhiki ondoka wewe lkn ndoto ya kumuondoa mbowe ifute kabisa ili uendelee kuwa salama
haya hayatuhusu kwa sasa.sasa tuna agenda moja tu ambayo ni kuiondoa ccm madarakani
 
Mkuu kwani Osama hakusomeshwa na wamarekani?vipi jamaa wa Escrow aliingia nchini kupitia uchochoroni?hatujamruhusu?vipi mabehewa na kivuko cha magufuli hatukutoa pesa kwa hiari yetu
Kicking out ccm is our high priority today
Ukitumia mfano huo huo wa Osama ni wazi CCM itammaliza kisiasa kama Marekani ilivyofanya kwa Osama.

Unataka kuiondoa ccm safi halafu uirudishe ile chafu....utasubiri sana!
 
Tanzania hii ya leo sijaona Kiongozi kama Mbowe na sijaona mgombea urais kama Lowasa na sioni wa kumzuia Lowasa kwenda ikulu
 
Chakaza wewe ni mkongwe humu sitegemei ujibu kirahisirahisi namna hii.

Haya ndiyo yanayowakumba Chadema na Ukawa kwa sasa.Yalishatabiriwa!

Unawasemea wale CDM asilia waliotengenezwa na Masaburi au? Safari hii mna kazi pevu! kwa jasho lenu mtakukula Walahi
 
Baada ya Oktoba 25 wanachama wa chadema asili wanajipanga kukirudisha chama chao kutoka mikono ya familia ya Mtei na kukifanya kuwa taasisi ya umma kwa kuwa inatumia ruzuku za serikali.


Ni wazi Mbowe anaonekana kujutia uamuzi wake wa kubadili gear angani,uamuzi ambao umeigharimu chadema kwa kumpoteza shujaa wa ujenzi wa upinzani wa kweli Tanzania ndugu Dr Slaa.

Ni ukweli usiojificha kwa wanachama wa chadema asili wametaharuki na kushangaa chama chao kutekwa na wahuni au makapi yaliyoisumbua ccm hadi Kikatio cha Mangula kilipotumika.

Wanachama wa chadema asilia wamelazimika kuirudisha ccm madarakani kwa kosa kubwa la kiitifaki lililoamuliwa na familia moja tu ndani ya chama.

Wanachama wa chadema asilia ni wazi wanatafakari hasa baada ya ushindi wa kishindo wa Magufuli ni kwa vipi wanaweza kukinusuru chama chao kisiporomoke kama NCCR,CUF na TLP.

Wanachadema asilia wanatafuta mwenyekiti kwani haiwezekani Wangwe,Arfi,Zitto,Kitila,Mwigamba na Slaa wakawa na matatizo...tatizo ni mwenyekiti na akiendelea kuchekewa chama kitafutika kwenye ramani ya kisiasa.

Wanachadema asilia wanatambua wanayo haki ya kisheria ya kukiondoa chama mikononi mwa familia ya mtei.

Wanachadema asilia wanataka kuona mfumo wa uteuzi wa wagombea ndani ya chama unakuwa wazi na kufuata taratibu za chama.

Wanachadema asilia wanataka kuona mgao wa ruzuku unakuwa fairly distributed na sio kuwafikia baadhi ya wanaojidai makamanda kutoka kaskazini.

Ni katibu aliyeondolewa na Mbowe ndio aliyetuelekeza kwenda mitaani na vijijini ili kukikuza chama na aliahidi kutupima kwa hilo.leo hii Mbowe amemfanya katibu ni mvivu.

Wanachadema asilia hawajapewa fursa rasmi ya kumpitisha lowassa kuwa mgombea urais kupitia chadema.hili limefanyika kiujanjaujanja kwa kuwa Mwenyekiti anajua wanachama wangelipinga kwani mgombea huyu hana sifa za kikamanda wala hajui misingi ya kuwa kamanda wa wananchi wanyonge.

Wanachadema asilia hawakupewa fursa ya kuamua au kujua jinsi gani mchakato wa kuachiana majimbo utakavyokuwa.sana sana mchakato ulisikika kwenye vyombo vya habari tu.

Wanachadema asilia walijitoa kwa hali,mali na uhai wao kwa kutarajia Tanzania mpya inazaliwa ikiwa haina ufisadi,uongo,udini,ukanda,ufamilia,ukabaila na usaliti badala yake Mwenyekiti na timu ya wachache imetuletea mamluki wanaokichafua chama na kukiacha kikiwa vipande vipande.

Kwa heshima ya Wangwe,Zitto,Slaa,Arfi,Kitila,Kafulila na wengine ni lazima Mwenyekiti uondolewe kwani wewe ndio tatizo.Mwenyekiti umebebwa sana na think tanks ndani ya Chadema na malipo yao yamekuwa ni kuwafukuza tu.

Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti Chadema ni oktoba 25.


SENT AS RECEIVED!

Kapasue shipa hilo ni bure
 
Back
Top Bottom