Baada ya Oktoba 25, Mbowe atang'olewa uenyekiti wa CHADEMA?


Wewe huoni kuwa umeiteekeza ccm? Maana wewe kila kukicha ni cdm tu
 

Wewe ni mpuuzi, mhuni, jizi na laghai. Acha kuandika ujinga kama huna cha kuandika. Tueleze twiga walipandaje kwenye ndege kwenda nje? Escrow nani alichota hela kwenye magunia katika benki ya standbick? Mambo ya Ngoswe, mwachie Ngoswe Mwenyewe. CHADEMA waache na mambo yao. Propaganda hazitawasaidia sana safari hii
 

Tueleze ilikuwaje mtuhumiwa wa Richmond mkamfanya mgombea urais?

Tueleze hela zinazoendelewa kulipwa dowans mpaka leo hii zinaingia kwa nani?

Halafu ukimaliza tueleze aliyeua kiwanda cha general tyre na kutuchukulia ranchi zetu.

Halafu tueleze ni nani aliuechukua ardhi huko mvomero kiasi cha kuiacha halmashauri bila eneo la kujenga makao makuu?

Halafu utueleze ni nani aliyemchotea mifwedha Mbatia,Mnyika na lissu kiasi cha kujenga majumba huko mbezi?

Halafu mtujibu yale mabilioni ya kununuliwa kwa chadema na ukawa nani wamekula?

Ukimaliza nieleze ni nani aliyeshika tenda za halmashauri kule Monduli?

Halafu niambie ni mbunge gani kala mamilioni ya fedha na kuachana na harakati za kudai mashamba huko Arusha?

Ukianza kujibu hayo tutaenda sawa!
 

Mhusika wa Richmond ni JK. Ilikuaje mhusika wa Richmond mkamfanya kuwa Rais wa Tanzania? Tanzania mpya inakuja. Hii Tanzania ya matapeli wa CCM na vibaraka wake imefika mwisho
 
Hapo kuna hoja gani ya kujibu wee msee...wewe ccm cdm inakuhusu nn!
ona sasa na wewe. ukiitwa nyumbu kufuata malisho sio utukane matusi. toa hoja kwa nini wewe sio nyumbu. kama wewe ni gamba au kapi sema tu hakuna haja ya kutukana.
 
Mimi binafsi ili niendelee kuiunga mkono Chadema Mbowe inabidi akae pembeni kwan katudhoofisha sana wanachama

Na baada ya tar25 ndo itakuwa mwisho wa chama chetu tulichokipenda. Miaka yote tumekuwa makini sana. Ila mwaka huu naona nwenyekiti amechanganya mchele na pumba. Yani ni ccmA na ccm B bila kupenda HAPA KAZI TU.
 
Mbowe atafungwa jiwe na kutupwa baharini kwa kuua matumaini ya wanachadema waliopigania mabadiliko ya kweli.
 
Mbona hili halina mjadala? kamari yote aliyoicheza inategemea ushindi wa Lowassa na Bunge; kitu chochote chini ya hapo kitamlazimu kujiuzulu yeye mwenyewe. Na itategemea kama atashinda kugombea huko Hai.
 

DR. Slaa? Mtaje Mwl. Nyerere ndani ya CCM.
 
Mbona hili halina mjadala? kamari yote aliyoicheza inategemea ushindi wa Lowassa na Bunge; kitu chochote chini ya hapo kitamlazimu kujiuzulu yeye mwenyewe. Na itategemea kama atashinda kugombea huko Hai.
Hai ataondolewa pamoja na jitihada za kujisafisha kimahakama
 
Mimi binafsi ili niendelee kuiunga mkono Chadema Mbowe inabidi akae pembeni kwan katudhoofisha sana wanachama

Mbowe asiondoke maana ni mpiganaji. Awaondoe hao waliokimbia aibu ya kukatwa wakaja huko kuficha vichwa vyao kwenye mbawa zao. Hawajui kama kiwiliwili chao kinaonekana.
 
Mbowe asiondoke maana ni mpiganaji. Awaondoe hao waliokimbia aibu ya kukatwa wakaja huko kuficha vichwa vyao kwenye mbawa zao. Hawajui kama kiwiliwili chao kinaonekana.

Aaa wewe.
Hao wenye aibu ya kukatwa si walipokewa na Mbowe au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…