Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmewafwata wenyewe....nani ameitwa au kulazimishwa? Mi nawapongeza maana wabongo ni kama wafu bila mijeledi hawaendi!Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu nanudhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamwmpiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa watauwa watu wengi sana directly and indirectly.
Mikopo ni hiari ya mtu....dawa ya deni kulipa na si vinginevyo.Dah kuna watu wako juu ya sheria.aise na serikali ya ccm na mama samia wameiweka mfukoni ni mwendo wa ubabe km una chapa.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.CCM OYEE MAMA OYEEEE
vyombo vp hi hnayopokea rushwa 24hrs?wenyewe watekaji.HAKUNA USALAMA TZ.THIS IS FAILURE STATETaarifa hizi umezitoa polisi? Yaani taasis ya fedha ina dai kwa kuteka huo ni ugaidi. Je vyombo husika vinajua
OYA ni tanzu ya serikali ndo maana hawagusikiKampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu nanudhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamwmpiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa watauwa watu wengi sana directly and indirectly.
Jirani yetu wamechukua mtungi wa gass kumbe hiyo kampuni ila gprs basi wenye mtungi wakafuatilia ule mzozo sijui umeishia wapi.Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu nanudhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamwmpiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa watauwa watu wengi sana directly and indirectly.
KWANI NI KOSA KWA MUARABU KUUA SISIMIZI SHUKURUNI KUACHWA HAI BWANA ABDUL KAAPA KUWALINDA WAARABU KWA NGUVU ZAKE ZOTE AKISHIRIKIANA NA MAMA YAKE BUSHIR I SAMIAKampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu nanudhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamwmpiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa watauwa watu wengi sana directly and indirectly.
Mitano tenaDah kuna watu wako juu ya sheria.aise na serikali ya ccm na mama samia wameiweka mfukoni ni mwendo wa ubabe km una chapa.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.CCM OYEE MAMA OYEEEE
Nilitaka kuuliza km wwHaya tueleze Mungu amejibuje dua na sala zako
Mkuu unaumwa ..nenda kamuone mtaalamu wa psychologyKampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.
Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Kukopa harusi kulipa matanga.Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.
Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji