Baada ya OYA kumtesa mwanangu, Mungu amejibu dua na sala zangu. OYA wamevuna walichokipanda

Baada ya OYA kumtesa mwanangu, Mungu amejibu dua na sala zangu. OYA wamevuna walichokipanda

Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
HAWA NI WATEKAJI KAMA WENGINE DAWA YAO MKIWAONA WAMEVAMIA SEHEMU NIKUWAITIA MWIZI TU WAPIGWE MPAKA WAUWAE NAO
 
Dah kuna watu wako juu ya sheria.aise na serikali ya ccm na mama samia wameiweka mfukoni ni mwendo wa ubabe km una chapa.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.CCM OYEE MAMA OYEEEE
Hawaq Oyaa wamegundua namna ya kuwadai watanzania...ukitaka ugomvi na mtanzania mkopeshe...mmekutana na kiboko yenu...kama huwezi kulipa usikope..ukikope hakikisha una namna ya kulipa hasa mambo yakikataa
Sasa wameingia cha kike.
 
Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Baada ya hayo waliendelea kumdai ama walighairisha deni?
 
Changamoto wateja wao hawakopesheki bank, bank wanafuata utaratibu yaani kuwa na dhamana sio kigezo pekee cha kukopa bali uwe na mzunguuko wa biashara unaoshabihiana na kiwango unachokopa. Hawa kina Oya wao wanakopesha tu, hujawahi kushika hata 1 million lakini ukitaka 3 millions wanakupa tu na shida ndo inaanzia hapo. Wanatoa mikopo wababe na wanaokopa wana historia mbaya ya kukopa hivyo kinaumana.

Kwahiyo, mamlaka zinazosimamia ndo zimefeli maana malalamiko ni mengi mno
Angalau kidogo wewe maelezo yako yamejikita hasa kwenye mzizi mkuu wa tatizo.
Ni kweli hao jamaa wamekosea na nasikia hawana mzaha kwenye ishu zao za kudai. Lakini tuangalie upandewa pili sisi watanzania wengi sio watu wa kulipa madeni yaani mtu anakuja kukopa kwa upendo ila baada ya hapo mkopeshaji anapata adhabu ya kufuatilia deni lake utadhani hana haki na hiyo hela ubabaishaji hua mwingi sana kwa watu weusi.
Umeongea ukweli ambao watu wengi hawataki kuuongelea... Watu wanalalamikia tu matendo ya hao jamaa wanaofanyia wateja wao wakati wa kudai, ila hawaangalii chanzo Cha tatizo ni nini....

Labda swali la kujiuliza mbona Kuna wateja wao wengine hawalalamiki kufanyiwa unyama wa aina yoyote na hao jamaa? Jibu ni kwa sababu wao ni walipaji wazuri na Wala hawana usumbufu kwenye kurejesha.

Wateja wengi wa OYA wanaofanyiwa fujo ni wale ambao ni wasumbufu kwenye marejesho na hawaheshimu mikataba.... Wakishachukuliwa dhamana zao wanaanza kutafuta huruma kwa watu kana kwamba wanaonewa.

Ukikopa pesa za watu LIPA kwa wakati uone kama utasumbuliwa.
 
Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Lipa madeni ya watu, acha ubabaishaji kaka
 
Hawaq Oyaa wamegundua namna ya kuwadai watanzania...ukitaka ugomvi na mtanzania mkopeshe...mmekutana na kiboko yenu...kama huwezi kulipa usikope..ukikope hakikisha una namna ya kulipa hasa mambo yakikataa
Hakika umenena. Mtz unaweza kukuta anapokea mishahara kila mwezi ila kukulipa elfu 10 yako anaona muda bado
 
Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Watanzania ndio watu mnaoongoza Duniani kwa kulia lia tuu mkitafuta huruma za watu.

Kizazi gani ichi yani unapigwa na kubebwa msobe msobe umekaa tuu.
 
Mli
Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Mlichukua hatua gani?.
 
Kampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.

Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.

Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.

Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.

Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.

Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.

Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.

Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Tuwaweke kundi la watu wasiojulikana. Wakija kwako itaneni mtaa mzima muwachomee kigari chao
 
Back
Top Bottom