Ni kweli kabisa Tena mtanzania mkopaji anakuwa mkali kuliko anaedai Yani ukienda kumdai mtu asipoelewa anaweza kuhus wew ndo unadaiwa japo Hao OYA ni kibokoNdio maana hii biashara ya kukopesha hela siitaki kabisa,watanzania wengi sio walipaji,kumkopesha mswahili bila ya dhamana ya kueleweka utaishia jela usipoangalia...
Mimi siungi mkono vitu vinavyofanywa na wakopeshaji katika kampuni au taasisi binafsi ila tatizo pia lipo kwa nyie mnaetaka mikopo maana huwa mnachukua mikopo kwa kufata mkumbo mkishachukua haukuna mnachofanya zaidi ya kufanya anasa na vitu vya hovyo kabisa ivi unachukuaje pesa na kwenda kumtunza mwenzio au kuandaa visherehe visivyo na msingi kipindi hiki unakuta wamama na hawa dada zetu inapofika siku ya jumanne,alhamisi ya kila wiki anatweza utubwake kwa kuuza mwili tena hapo hana mkopo mmoja ni zaid na hana chanzo cha kumuingizia pesa zaidi ya mwili wake, jaman ukiona ndugu yako au mke anachukua mikopo hvyo mshaur na asipoelewa kaa nae mbali kabisa muda wowote anakuletea majanga kama sio kufa basi kufilisiwa vitu vya thaman mana wengine hadi wanakimbia nyumba kwa ajili ya vitu vya kipuuzi na familia zao zinalizika afu baadae wanatafuta huruma za watu pembeni,wakopaji msipokua makini mtakwisha sana mana mmekosa hata sura za haibu huko mitaani kwenu watu wanapishana mlangoni kwa kukudai ww kila siku unakopa hapa ukalipe pale kwa ajili ya ujinga tuKampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.
Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Kweli haijakaa vizuri!!!Haya tueleze Mungu amejibuje dua na sala zako
Watanzania sio waaminifu kwenye mikopoKampuni ya OYA inayotoa huduma za ukopeshaji wa fedha wamekuwa wakitenda uovu na udhalimu mwingi katika operation zake za kudai madeni.
Miingoni mwa udhalimu wanaoufanya, ni pamoja na kupiga, kutesa, kutekwa nyara kwa muda na kisha kwenda kukubwaga mbali na eneo lako la makazi.
Binti ya wangu wa mwisho kuzaliwa, alikuwa amekopa huko OYA kiasi cha 2.5 mil.
Basi siku hiyo wakamvamia nyumbani usiku wa saa tatu, alikuwa amebakiza marejesho matatu amalize deni lake. Basi akawaomba awapelekee kesho yake hela zilizobakia, wakakataa katakata. Wampiga sana, wakambeba msobe msobe na kumwingiza kwenye Gari. Wakamzungusha usiku kucha, kutoka Boko Magengeni njia ya Mbweni, wakaenda kumbwaga Mbagala shule ya msingi Jaribu akiwa Hana shilingi hata moja wala simu.
Basi hapo kulikuwa na walinzi wa shule ndio wakamsaidia kumpa simu kutujulisha yaliyomkuta, tukawaomba walinzi wampeleke kituo cha Polisi Mbagala Zakhem kwa ajili ya usalama wake.
Kesho yake asubuhi tukawepo kituoni, tukamchukua na kurudi naye nyumbani. Uhuni wa kampuni wa OYA haufai, ni lazima ukomeshwe mara moja.
Juzi wamempiga MTU hadi kumuua huko Mlandizi, wakikaliwa kimya hawa wataua watu wengi sana directly and indirectly.
Pia soma
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Ukhty ka hujaolewa naomba tuwasilianeHatari sana
😳Ukhty ka hujaolewa naomba tuwasiliane
Ustadhat nauliza je sie waajiriwa tunaopokea mishahara kwenye bank za riba n haram kupokea mishahara iyoRiba mbaya, Mwenyezi Mungu ameikataza, mnajifanya hamjuwi.
Nibkweli, lakini hawa OYA aina yao ya udaiji ni ya kudhalilisha sanaWatanzania
Watanzania sio waaminifu kwenye mikopo
Kuchoma Gari yao ni uhalifu pia. Uhalifu na uhuni wowote haukubalikiTuwaweke kundi la watu wasiojulikana. Wakija kwako itaneni mtaa mzima muwachomee kigari chao
Soma vizuri, nimekwambia alitekwaWatanzania ndio watu mnaoongoza Duniani kwa kulia lia tuu mkitafuta huruma za watu.
Kizazi gani ichi yani unapigwa na kubebwa msobe msobe umekaa tuu.
TulilipaBaada ya hayo waliendelea kumdai ama walighairisha deni?
Je tutafika?HAWA NI WATEKAJI KAMA WENGINE DAWA YAO MKIWAONA WAMEVAMIA SEHEMU NIKUWAITIA MWIZI TU WAPIGWE MPAKA WAUWAE NAO
Watakuja kutoa maneno machafu mana siku hizi akili zao zimeganda kwenye mikopo kwa ajili ya starehe,kutunzana tena huyo anaekopa hana hata kitu cha kufanya zaidi ya kutweza utu wake tu"Kukopa harusi kulipa matanga".