Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Contacts mzeeNimeshakua na mahusiano ya kikazi na mmoja kati ya kwenye picha . kwa sasa anaishi ubungo Sio hao wanaosingiziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Contacts mzeeNimeshakua na mahusiano ya kikazi na mmoja kati ya kwenye picha . kwa sasa anaishi ubungo Sio hao wanaosingiziwa
Tshepii TshepiiAiseee ule mkao mamaeee[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hujawahi kuwa sawa kichwaniKonde boy anamchafua X wake azime Tamko la WATAJUAJEEEE....!!! tukishamaliza kuwajuza tunamgeukia kumuadabisha
Shosti Kajala akili hana yule mama,kabla hajaenda Dubenga walienda kupima covid Hosp fulani sasa Kajala akawa anapima Paula yuko nje alikua ameshika simu ya Paula Mara ghafla simu ya Paula ikaita akuamuita mwanawe aje kupokea simu, yule kaka wa maabara akamchombeza K kua si apokee tu simu ya mwanawe naskia K akasema "yaani mkitama nisiinuke nilazwe nipokee simu yake huyu mtoto ana mambo makubwa" Kwa picha hyo tayari Kajala anajua ujinga wote wa mwanaweKama ukibahatika kuona picha iliyopigwa kwa angle nyingine utaona sio wao.....
Mimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...
But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa
Ushaiona au bado...pm nigongeeTu one wote basi...:
Gwajima alijitetea kama hivi akasema eti kichwa kimeeditiwa.
Swali la msingi likawa leta picha ya mwili halisi wa kichwa mabacho kimeeditiwa kikionyesha harakati ambazo ukizifanya mfano wa kwenye ile video.
Na huyu kajala kwa tunaojua saikolojia huu utetezi una walakini mkubwa sana.
Huwezi kusema umeamua kukaa kimya alafu bado unaongea.ukiamua kukaa kimya usiseme unakaa kimya ukikaa kimya alafu ukisema kuwa unakaa kimya umeshavunja ukimya.
Sijui kwa nini wasanii wanashindwa kuhandle situations kama hizi,hizi ishu unakauka kimyaaa zinapita mdogo mdogo.
Anasema kichwa kimeeditiwa,kwa maana kichwa ndo chenyewe mwili wa mtu mwingine.
Tuletewe mwili halisi wa kichwa kile cha kwenye picha.
Naomba Mungu asiwe yeye dada kajala
Bro iyo pic si demu kakaa kitanda cha chuma sasa mbona hana tattoo shingoni??? Halafu ile ya kajala ina tattoo shingoniMimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...
But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa
Weka zote tuhakikishe
Kazi gani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]we si useme tu ulinunuaNimeshakua na mahusiano ya kikazi na mmoja kati ya kwenye picha . kwa sasa anaishi ubungo Sio hao wanaosingiziwa
Mmmh huyu mama wa kizazi kipya....Shosti Kajala akili hana yule mama,kabla hajaenda Dubenga walienda kupima covid Hosp fulani sasa Kajala akawa anapima Paula yuko nje alikua ameshika simu ya Paula Mara ghafla simu ya Paula ikaita akuamuita mwanawe aje kupokea simu, yule kaka wa maabara akamchombeza K kua si apokee tu simu ya mwanawe naskia K akasema "yaani mkitama nisiinuke nilazwe nipokee simu yake huyu mtoto ana mambo makubwa" Kwa picha hyo tayari Kajala anajua ujinga wote wa mwanawe
Ule mkao ukiacha pakua mbolea utatukanwa matusi yote ya dunianiMgongo unahamasisha mpaka matumizi ya mbolea ya kukuzia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Sasa Gwajima kichwa gani kilieditiwa, cha chini au cha juu?
Mahusiano ya kikazi sio.....😂😂😂Nimeshakua na mahusiano ya kikazi na mmoja kati ya kwenye picha . kwa sasa anaishi ubungo Sio hao wanaosingiziwa
Ila Unapenda Sana Hizi Mada [emoji3][emoji3][emoji3]Mahusiano ya kikazi sio.....[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ili namtetea kajala tofauti yao mmoja ni muuzaji wa jumla na mwingine wa rejareja lakini wote wauzaji, talking from experience.Wakuu X Wa Konde Boi Ametoa Tamko Lake Rasmi Kuhusu Kinachoendelea Huku Mtandano.... Sjui Kama Mods Watafuta na Huu Uzi Pia.View attachment 1811549
Jamani ni yeye nimeshindwa namna ya kumtetea na ile tatooo ya shingoni jamani hamana cha editing wala nini na kwa matukio ya kajala na mwanae si ajabu kuwa na picha za hivoGwajima alijitetea kama hivi akasema eti kichwa kimeeditiwa.
Swali la msingi likawa leta picha ya mwili halisi wa kichwa mabacho kimeeditiwa kikionyesha harakati ambazo ukizifanya mfano wa kwenye ile video.
Na huyu kajala kwa tunaojua saikolojia huu utetezi una walakini mkubwa sana.
Huwezi kusema umeamua kukaa kimya alafu bado unaongea.ukiamua kukaa kimya usiseme unakaa kimya ukikaa kimya alafu ukisema kuwa unakaa kimya umeshavunja ukimya.
Sijui kwa nini wasanii wanashindwa kuhandle situations kama hizi,hizi ishu unakauka kimyaaa zinapita mdogo mdogo.
Anasema kichwa kimeeditiwa,kwa maana kichwa ndo chenyewe mwili wa mtu mwingine.
Tuletewe mwili halisi wa kichwa kile cha kwenye picha.
Naomba Mungu asiwe yeye dada kajala