Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Ntakuwasapu kwa Voda yangu aisee!!Umepotelea wapi?
Ijumaa naenda tena hata ivo.
Hahaha mwaka huu tunguli zitaeleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakuwasapu kwa Voda yangu aisee!!Umepotelea wapi?
Huyu jamaa ananifurahisha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1811797
100% ni yeye
Ntakuwasapu kwa Voda yangu aisee!!
Ijumaa naenda tena hata ivo.
Hahaha mwaka huu tunguli zitaeleza
Sio yeyeJamani ni yeye nimeshindwa namna ya kumtetea na ile tatooo ya shingoni jamani hamana cha editing wala nini na kwa matukio ya kajala na mwanae si ajabu kuwa na picha za hivo
Kuna uwezekano mkubwa akawa sio yeye.
Ila ksjala mwenyewe hana uhakika kama alipiga zile picha ama hakupiga mana anasema kwenye utetezi wake " wakachukua pichwa changu ama kinachofanana na changu wakaedit"
Ana nyota tatu,Kama hujaiona pole[emoji2][emoji2][emoji2]atupostie picha za kweli tuthibitishe kama ni kweli,tuone tattoo zake izo za nyuma
Nipe whasap namba pm nikutumieTu one wote basi...:
Ukipata part Two unistueKwa tulioona, tunasema yule ni yeye. Hatutaki maelezo mengine.
Watakupa hadi hela ya lunch, ila sio connection. Watu wabaya. Kuna watu wanazo, tatizo mods wanatembea humu wanasubiri mtu ujichanganye.Connection ni muhimu sana ndugu zangu.
Kumbuke sisi sote ni ndugu 🥺
Kuna uzi ulinoga hadi page ya 6 hivi, sijui mods walijisahau nini, walivoutoa ata nikasahau kudownload picha.Duh bila connection mjini hata picha tu huoni, hapa naona conversation inaendelea ila sielewi picha gani hizo wakuu, tutumiane tuone wote😒
Kwa hili nakuunga mkono, yule siyo kajalaMimi nnayo picha ya binti mhusika
Anaitwa penny anajiuza ubungo
Sio kajala wala sio Paula wale...
But since watu wengi maisha yetu hayana furaha kabisa .ukweli watu hawautaki kabisa
Hee zililetwa humu kumbe? Dah hata hatushtuani wakuu sawa tuu😒Kuna uzi ulinoga hadi page ya 6 hivi, sijui mods walijisahau nini, walivoutoa ata nikasahau kudownload picha.
Ila raia wanazo. Labda PM
Ni PM mwanahaifai takula ban
Tatzo uko bize sana, wandewa walizipost umu, uzi wameufuta BTW sidhani kama ni kajala kweliHee zililetwa humu kumbe? Dah hata hatushtuani wakuu sawa tuu[emoji19]
Ni PM mwanahaifai takula ban
Ni PM mwanaKajala kachemka hapo. Kama kafikia hatua ya kukubali hicho kichwa ni chake basi hio picha yote inamuhusu yeye.
Ukiangalia hio picha hapo chini ya kichwa kuna mikunjo inayoenda hadi shingoni. Mikunjo inaleta shadow fln kwa mbali ambayo inaendana kabisa na mikunjo yote ilio maeneo hayo (kichwani na mwanzoni mwa shingo)
Af anapoongelea mtoto wake kuwa na huo mwili mkubwa amesahau miaka kama miwili ilopita alijorekodi video yy na mtoto wake wanatingisha matackle ya huku wanacheka kabisa. Probably hio pic imechukuliwa mida hio coz paula ana mwili mkubwa toka zamani.
Muhuni tu huyo, ashamuharibu mtoto wake na anaendelea kusema uongo. Ngoja waliozivujisha wamwage nyingi zaidi ndo tuone atasema nn tena. Mara mia angekaa kimya
Hata deepfake haiwezi kutengeneza kitu yenye precision kiasi hiko. Huyu muhuni tu.. fullstop