Baada ya Rais Hersi na Mhamasishaji Manara kuwa na 'Hatiani' huu ndiyo Uwezo wa mwisho wa Kufikiri wa Mashabiki na Wanachama Wao

Baada ya Rais Hersi na Mhamasishaji Manara kuwa na 'Hatiani' huu ndiyo Uwezo wa mwisho wa Kufikiri wa Mashabiki na Wanachama Wao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Tunaomba sababu ni kwanini katika Tamasha letu la Citizens Beauty Beauty Day hakuna hata Kiongozi Mmoja wa TFF aliyekuja. TFF inatunyanyasa mno na ina Chuki na Sisi" wamesema Wasio na Akili FC.

Yaani Viongozi wa TFF waache kuwa busy na Ugeni wa CAF na Mkutano Mkuu utakaofanyika Arusha waje katika Tamasha la Hovyo lenu?

Jiandae kwa Dhahama Kubwa.
 
Hivi kwanini simba wanatumia nguvu saana kuponda yanga
Ndo maana mimi na waita propaganda fc ninyi ni timu ambayo ni sawa na inch ya Marekani maneno mengi ila vitendo ndo 0
Ok sisi hatuna akili tukutane tariki 13 ndo mtajua kama kweli hatuna akili au tunazo bali ni uzalendo wa kupenda timu yetu

Propaganda fc
 
😂😂😂😂 Leo unawapasua na juzi ulisema umehamia kwao kaka?
Hujui kuwa GENTAMYCINE ni Msumeno unaokata Kote Kote? Leo ni zamu yenu Yanga SC yenye Rafiki zangu wakubwa mno hapa JamiiForums na 'Genius' kabisa akina Bila bila na adriz hivyo mnivumilie tu.

Simba SC yangu nawavumilia hadi Ijumaa nikiona bado hawajamalizana na Mshambuliaji ninayemhitaji na Kumpenda Ceaser Lobi Manzoki nitaanzisha rasmi Vita nao kwa Kutoa SIRI zao Kubwa Mbili ( tena za HATARI na KASHFA ) ambazo nina uhakika nchi itasimama kwa muda na ndipo watajua kuwa GENTAMYCINE si wa mchezo mchezo.
 
Hivi kwanini simba wanatumia nguvu saana kuponda yanga
Ndo maana mimi na waita propaganda fc ninyi ni timu ambayo ni sawa na inch ya Marekani maneno mengi ila vitendo ndo 0
Ok sisi hatuna akili tukutane tariki 13 ndo mtajua kama kweli hatuna akili au tunazo bali ni uzalendo wa kupenda timu yetu

Propaganda fc
AKILI ZA UTOPOLO BADALA TAREHE UNAANDIKA TARIKI VERY NONSENSE.
 
Hivi kwanini simba wanatumia nguvu saana kuponda yanga
Ndo maana mimi na waita propaganda fc ninyi ni timu ambayo ni sawa na inch ya Marekani maneno mengi ila vitendo ndo 0
Ok sisi hatuna akili tukutane tariki 13 ndo mtajua kama kweli hatuna akili au tunazo bali ni uzalendo wa kupenda timu yetu

Propaganda fc
Waliosema hamna akili ni wanayanga wenyewe,alianza aliyekuwa kocha wenu Luc Eymael,na wa pili ni msemaji wenu Haji Manara sasa inakuwaje lawama ziwaangukie Simba? Na hata majina ya ovyo yametolewa na wana Yanga wenyewe, Utopolo limetoka huko huko, vinyesi FC limetolewa na mtukuka wenu Haji Manara.
 
Hujui kuwa GENTAMYCINE ni Msumeno unaokata Kote Kote? Leo ni zamu yenu Yanga SC yenye Rafiki zangu wakubwa mno hapa JamiiForums na 'Genius' kabisa akina Bila bila na adriz hivyo mnivumilie tu.

Simba SC yangu nawavumilia hadi Ijumaa nikiona bado hawajamalizana na Mshambuliaji ninayemhitaji na Kumpenda Ceaser Lobi Manzoki nitaanzisha rasmi Vita nao kwa Kutoa SIRI zao Kubwa Mbili ( tena za HATARI na KASHFA ) ambazo nina uhakika nchi itasimama kwa muda na ndipo watajua kuwa GENTAMYCINE si wa mchezo mchezo.
Huna lolote na ww uwongo na umbea vimekujaa dume Zima acha hizo
 
Mkuu,
Nina maswali mawili,

Je, mmeshamsajili Cezar Manzoki?

Na kama hamjafanikisha katika hili, ni lini utaleta bandiko linalomuhusu Siri za klabu ya Simba kumuhusu Ahmed Ally na Barbara Gonzalez?

Ulituahidi mwenyewe?
 
Waliosema hamna akili ni wanayanga wenyewe,alianza aliyekuwa kocha wenu Luc Eymael,na wa pili ni msemaji wenu Haji Manara sasa inakuwaje lawama ziwaangukie Simba? Na hata majina ya ovyo yametolewa na wana Yanga wenyewe, Utopolo limetoka huko huko, vinyesi FC limetolewa na mtukuka wenu Haji Manara.
Haji Manara aliposema hivyo alikuwa Simba hakuwa Yanga, na alipokuja Yanga alifuta kauli yake lakini mmekomaaa nae tu mnataka kumfitinisha na Wanayanga kwa chuki zenu.

Kocha sawa alisema kabla ya kufukuzwa na na hata aliekuwa kocha wenu kabla ya kishingo aliyasema hayo hayo kwa viongozi wenu na Bodi ya timu.
 
Waliosema hamna akili ni wanayanga wenyewe,alianza aliyekuwa kocha wenu Luc Eymael,na wa pili ni msemaji wenu Haji Manara sasa inakuwaje lawama ziwaangukie Simba? Na hata majina ya ovyo yametolewa na wana Yanga wenyewe, Utopolo limetoka huko huko, vinyesi FC limetolewa na mtukuka wenu Haji Manara.
Yuko mwngine kawaita mataputapu
 
Back
Top Bottom