Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ajiandaeBado mwaka mmoja Miaka 65
Huo ni utaratibu tu, hata Tanzania inajielewa na huo ndo utaratibu wake kwa mujibu wa KatibaKwanini wateuliwe?
Nchi zinazojielewa kuna platform kabisa watu hutuma maombi na kuna mchujo wa wazi kabisa.
Sio habari za kulipa hisani za ukaka,udada ,ushemeji n.k
Umemsahau D1 wa tcNaona Mh. Rais SSH kamaliza kupanga safi ya viongozi wa vyombo vya dola. Macho yetu yote ni kwa Mahakama. Je, nani atakalia kiti Cha Jaji Mkuu?View attachment 2297313
Safi sana kwa hoja nzuri hii, wateule wote hawa kuanzia IGP mpaka kwa CJ ilibidi waombe na kufanyiwa interview, tukiambiwa tunaishi in a pithole country tunachukia wakati ndio ukweli wenyeweKwanini wateuliwe?
Nchi zinazojielewa kuna platform kabisa watu hutuma maombi na kuna mchujo wa wazi kabisa.
Sio habari za kulipa hisani za ukaka,udada ,ushemeji n.k
Ebo!Apewe Wakili msomi Pascal Mayalla!
Real?,tuna katiba nchi hii!mbona bado tunajificha kwenye hizi ID fake?,bila JF hakuna platform yeyote ya kuongea kwa uhuru huu, nchi zenye katiba watu hawajifichi kwenye ID fake, wake up mkuuHuo ni utaratibu tu, hata Tanzania inajielewa na huo ndo utaratibu wake kwa mujibu wa Katiba
Bila shaka atakuwa yule dereva wa Ile kesi mchongo,yule aliyeikimbia au yule iliyofoa mikononi mwake🏃Apewe Wakili msomi Pascal Mayalla!