Baada ya Rais wa Iran kumuomba Ayatollah asiishambulie Israel, Makamu wa Rais kajiuzulu, Vifo vya Rais aliepita na Kiongozi wa Hamas vyaleta hofu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kinachoendelea kwa sasa Iran, viongozi wa juu wanapaza sauti wasikike kwamba Israel isishambuliwe, Juhudi hizi zinawasaidia kukwepa kilichowakuta Rais aliepita na Kiongozi wa Hamas akiwa Iran.

Wiki iliyopita Rais wa Iran alimsihi sana Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel.

Wiki hii Makamu wa Rais wa Iran Javad Zarif amejiuzulu tarehe 12/8/2024 na hadi sasa nafasi ipo wazi. Zarif amewahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 8.

Ushauri wake ulikuwa ni Iran wasithubutu kuishambulia Israel, alionya Iran iache kufadhili vikundi kama Hamas vinavyoishambulia Israel kwasababu kufanya hivyo ni Iran kuishambulia Israel na ni hatari kwa usalama wa Iran.


Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 1723724938280.png
    410.8 KB · Views: 8
Ili somo lieleweki vizuri inatakiwa israel ipite na Ayatollah maana amezidi kujitokeza na shuka lake na kutoa matamko ya kikatili kwa Israel
 
Ili somo lieleweki vizuri inatakiwa israel ipite na Ayatollah maana amedhidi kujitokeza na shuka lake na kutoa matamko ya kikatili kwa Israel
Ni suala la muda tu uzuri Irani Kuna wayahudi ambao ni raia.
 
Yote anayo ongea ni ujinga mtupu wapi Hezbullah alijitenga na Hamasi, huyu anatafuta umarufu tu ndio sababu Iran wakamuambia awachie ngazi. Kwanza hicho cheo cha vice presdent Iran ni kama picture tu, anaye julikana pale ni Rais na Waziri wa Mambo ya nje.
 
Sema anayejulikana ni Ayatollah bro unatuzuga
 
Wewe ukute upo hapo Namtumbo na yeboyebo zako unabishana na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa miaka 8 yote. Mwanadiplomasia mkubwa na mtu aliyekuwa Makamu wa Rais?

Yaani kwenye masuala ya Iran tuache kusikiliza ushauri wa Javad Zarif tukusikilize wewe?
 
Kwa hio wewe anacho kuambia aliyekuwa waziri wa nje kuhusi Tanzania ni bora kuliko wengine wa Tanzania, mchukulie Makamba tu 😄

Kwenye siasa dogo ni mchezo wakati alikuwa waziri wa nje kwanini hakuyaongea hayo, jiulize ili upate akili.
 
Huyu kama kaongea haya karibuni napata picha atakuwa kalazimishwa kujiuzulu.. Maana ni kweli Wairan wanajifanya wao ndio Wapalestina kuliko wapalestina wenyewe.. and wao ndio wanalipa hasara ya kuibugudhi Israel... and Israel lazima ajitetee ni Order from Allah to Mussa and his people...

Yaani auwawe Ismail Hanniyah and Irani alipize kisasi kisha Israel nae alipize Kisasi pale Teheran, kwenye hazina ya Mafuta na Gas, na Viwanda vyao ah wewe wewe Ayatollah bichwa gumu kama ni Hivyo.. na ni Mjinga... am sure ndie aliyemuua Rais na Hanniyah too
 
wairani wanataka nchi yao, hawaitaki dola ya kiislam ya Iran, hadi sasa misikiti elfu 50 imefungwa,
Hili hata mimi limenishangaza misikiti inakosa waumini nashangaa huku Mbagala watu wanakomaa kuswali wakati dini ilipoanzia wameacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…