Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kule wataenda ofisi za adv.mwabukusiHivi na mbeya kuna ofisi za UN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kule wataenda ofisi za adv.mwabukusiHivi na mbeya kuna ofisi za UN
Wacha weeee !!🤣utaelewa sasa na ulidisco certificate ya ualimu
lazma upate kizunguzungu mpaka uache kuishi kwa wazazi na ni mtu mzima..
Hivi wewe una akili????Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka mkoani humo, kwamba baada ya Ratiba ya Maandamano ya awamu ya pili, ya kupinga Ugumu wa maisha na miswada mibovu ya sheria za uchaguzi kutangazwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA huko mkoa wa Mbeya baraka hii muhimu wamepangiwa tarehe 20/2/2024 ambayo ukibahatoka kupata baraka hii Wanazuoni wanasema ni namba ya bahati, Wakazi wa Mkoa huo wamelipuka kwa shangwe.
Mkoa wa Mbeya ni miongoni mwa Mikoa ambayo wakazi wake wanahitaji mno mabadiliko, na kuna Ushahidi kwamba Karibu Wakazi wote wa Mkoa huo wanaunga mkono CHADEMA, ukiacha mamluki na Chawa wachache.
View attachment 2890747
Ujio wa Maandamano haya ni sawa na Ukombozi kamili kwa watu wa Mbeya, ambao mara kadhaa wamezuiliwa kuandamana kwa mtutu wa Bunduki, ikiwemo maandamano ya kupinga Bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu wa DP WORLD, Wananchi wengi sasa wanaanza kuona mwanga wa kero zako kupelekwa popote kwa njia ya Maandamano ya Amani.
Masaa machache baada ya Tangazo hilo Tayari Wilaya ya Kyela imeanza Maandalizi kabambe kwa ajili ya Maandamano hayo, huku baadhi ya Mabango yakianza kuandikwa (nimeona), likiwemo moja ambalo linataka WALIOPORA SOKO LA HALMASHAURI KYELA NA KUJIMILIKISHA WAKAMATWE MARA MOJA.
View attachment 2890745
Sasa chawa na mtu nani ana akili ?Hivi wewe una akili????
wimbo au?Wacha weeee !!
yule bado hajaelekwa ni kama popokule wataenda ofisi za adv.mwabukusi
acha tufanye mpango wa kutuma mwakilishiitafahamika tu
na katika wenyewe wewe wala mama yako hamuwezi kuwemowimbo au?
wacha waseme chama cha mapinduzi kinawenywe ....
Matusi na uchawi havitakusaidia kituMbeya gani hiyo iliyolipuka kwa shangwe. Mi nipo Soko la Mwanjerwa hapa nauza mitumba mbona sijasikia wala kuziona hizo shangwe? Acha uongo we Joyce hawara wa mbowe, hata kama unampamba hawara yako Makengeza lakini sio hivyo.
Wewe ndiye ulitumiwa kumpa sumu Thadei Ole Mushi muuaji mkubwaChadema ni Mbumbumbu
Jogging zenu ni kituko sana
Endelea kulalama humu,acha watu wengine wakupiganie, uzuzu wako wa uoga ndio ujinga wako, kama wewe una njia bora zaidi za kudai haki zifanye ,otherwise shut updemonstrations with no end game are like jogging....
institution with no formal and proper communication strategies are nothing to do with changes...
politicking without winning formula is like flood in ocean
ndio maana kilaza wewe,
CC: Lucas Mwashambwa, Etwege na Tlaatlaah chawa wakomavu. Itawaumiza sana.Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka mkoani humo, kwamba baada ya Ratiba ya Maandamano ya awamu ya pili, ya kupinga Ugumu wa maisha na miswada mibovu ya sheria za uchaguzi kutangazwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA huko mkoa wa Mbeya baraka hii muhimu wamepangiwa tarehe 20/2/2024 ambayo ukibahatoka kupata baraka hii Wanazuoni wanasema ni namba ya bahati, Wakazi wa Mkoa huo wamelipuka kwa shangwe.
Mkoa wa Mbeya ni miongoni mwa Mikoa ambayo wakazi wake wanahitaji mno mabadiliko, na kuna Ushahidi kwamba Karibu Wakazi wote wa Mkoa huo wanaunga mkono CHADEMA, ukiacha mamluki na Chawa wachache.
View attachment 2890747
Ujio wa Maandamano haya ni sawa na Ukombozi kamili kwa watu wa Mbeya, ambao mara kadhaa wamezuiliwa kuandamana kwa mtutu wa Bunduki, ikiwemo maandamano ya kupinga Bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu wa DP WORLD, Wananchi wengi sasa wanaanza kuona mwanga wa kero zako kupelekwa popote kwa njia ya Maandamano ya Amani.
Masaa machache baada ya Tangazo hilo Tayari Wilaya ya Kyela imeanza Maandalizi kabambe kwa ajili ya Maandamano hayo, huku baadhi ya Mabango yakianza kuandikwa (nimeona), likiwemo moja ambalo linataka WALIOPORA SOKO LA HALMASHAURI KYELA NA KUJIMILIKISHA WAKAMATWE MARA MOJA.
View attachment 2890745
Wananchi wenyewe wanasemaje?kwanini msiombe appointment na Muheshimiwa Dr. SSH mukamuelezee mikwamo mnayoiona, mnachosha wananchi kuwatembeza kilometer nyingi bila ata ya kuwapa maji na chakula
sasa anae lalama mie au weye 🤣Endelea kulalama humu,acha watu wengine wakupiganie, uzuzu wako wa uoga ndio ujinga wako, kama wewe una njia bora zaidi za kudai haki zifanye ,otherwise shut up
manyumbu mnapata tabu kwasabb moja tu....CC: Lucas Mwashambwa, Etwege na Tlaatlaah chawa wakomavu. Itawaumiza sana.
Kwi Kwi Kwindio maana kilaza wewe,
sasa mtu akisema kitu fulani kina wenyewe si ndio maana yake kwamba yeye hayupo 🐒
we vepe bana,
ndio maana mama na mie tunachapa kazi tu kwenda mbele
Mwanza hali kadhalika. Ni moto mkali.Arusha
MABANGO TAYARI!