Baada ya Ratiba ya Maandamano ya awamu ya pili kutolewa Mbeya yalipuka kwa Shangwe

Hivi wewe una akili????
 
Mbeya gani hiyo iliyolipuka kwa shangwe. Mi nipo Soko la Mwanjerwa hapa nauza mitumba mbona sijasikia wala kuziona hizo shangwe? Acha uongo we Joyce hawara wa mbowe, hata kama unampamba hawara yako Makengeza lakini sio hivyo.
 
Mbeya gani hiyo iliyolipuka kwa shangwe. Mi nipo Soko la Mwanjerwa hapa nauza mitumba mbona sijasikia wala kuziona hizo shangwe? Acha uongo we Joyce hawara wa mbowe, hata kama unampamba hawara yako Makengeza lakini sio hivyo.
Matusi na uchawi havitakusaidia kitu
 
demonstrations with no end game are like jogging....

institution with no formal and proper communication strategies are nothing to do with changes...

politicking without winning formula is like flood in ocean
Endelea kulalama humu,acha watu wengine wakupiganie, uzuzu wako wa uoga ndio ujinga wako, kama wewe una njia bora zaidi za kudai haki zifanye ,otherwise shut up
 
CC: Lucas Mwashambwa, Etwege na Tlaatlaah chawa wakomavu. Itawaumiza sana.
 
Endelea kulalama humu,acha watu wengine wakupiganie, uzuzu wako wa uoga ndio ujinga wako, kama wewe una njia bora zaidi za kudai haki zifanye ,otherwise shut up
sasa anae lalama mie au weye 🀣
 
CC: Lucas Mwashambwa, Etwege na Tlaatlaah chawa wakomavu. Itawaumiza sana.
manyumbu mnapata tabu kwasabb moja tu....

kuishi kwa wazazi mkiwa watu wazima πŸ’

mkianza kujitegemea hii mihemko na makasiriko itakwisha kabisa
 
Huenda kituo kinachofuata cha Makonda kabla ya maandamano ni huko! Bado kero zinatafutwa ili akazimalize.
 
ndio maana kilaza wewe,

sasa mtu akisema kitu fulani kina wenyewe si ndio maana yake kwamba yeye hayupo πŸ’

we vepe bana,
ndio maana mama na mie tunachapa kazi tu kwenda mbele
Kwi Kwi Kwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…