HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
wewe ndo unawaza ngono, guest house=biashara na biashara si misingi ya utumeGuest houses zina shida gani? Unawaza ngono tu.
wafuate ya kwao
wewe ndo unawaza ngono, guest house=biashara na biashara si misingi ya utume
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
hakuna sehemu ktk biblia inahimiza kanisa kufanya biasharaKuna tatizo gani kumiliki guest house? Kazi ya guest houses ni ipi kwa akili yako ndogo?
Wale wakipewa tu ubwabwa wanaanza kusifu na kuabuduHaya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
lakini ni ukweli, soma bibliaAcha utoto dogo.
Hivi kuwa na kumbi za starehe, guest houses ni dhambi? Hizi imani hizi....Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Nasubiri BAKWATA watoe tamko kuhusu hiliHakuna kwenda Hija bila kuchanjwa.. Subiri BAKWATA...duniani huwezi kujiamulia unavyotaka..
Mahayawani hao wasiwapotezeeni muda.Dini ni nini? Nenda kajifunze definition sahihi ya Dini ili uachane na habari za propaganda.
biashara sio kazi ya kanisaHivi kuwa na kumbi za starehe, guest houses ni dhambi? Hizi imani hizi....
Na hapo usikute umehamia kwenye makanisa ya kuuza mafuta ya upako, vitambaa vya upako, maji ya upako, vitambaa vya upako nk halafu unasema /unalaumu kanisa kufanya biasharabiblia haiimizi kanisa kufanya biashara ndugu
Hahahaaaa......ngoja aje Pohamba!Wale wakipewa tu ubwabwa wanaanza kusifu na kuabudu
hata yesu mwenyewe aliyeweka standard ya utume kanisa linamuona mpumbav, mm nimekua nani 🤣 🤣 🤣Mpumbavu
Bakwata wanini? Sasa wachumia tumbo mashekhe wenyewe nikina AlhadHaya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Kumpa mtu malazi kuna shida gani? Kuna tofauti gani na Elimu na afya?wewe ndo unawaza ngono, guest house=biashara na biashara si misingi ya utume
Umekaririshwa ikakuingia kwelikweliKanisa katoliki linaongozwa na Mnyama aka mpinga Kristo
hapana ndugu, dini ni uongo uliotukuka , hata yesu mwenyewe hakua mkatolikiNa hapo usikute umehamia kwenye makanisa ya kuuza mafuta ya upako, vitambaa vya upako, maji ya upako, vitambaa vya upako nk halafu unasema /unalaumu kanisa kufanya biashara
Kumbe nao no magaidi, nilifikiri ni Mashekhe tu ndio huwa magaidi wanapoikosoa SerikaliTunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.