HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
is it for free?Kumpa mtu malazi kuna shida gani? Kuna tofauti gani na Elimu na afya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
is it for free?Kumpa mtu malazi kuna shida gani? Kuna tofauti gani na Elimu na afya?
Hivi bakwata wao hawajazungumzaHaya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Mbona hawa fungi ibada za mikusanyiko ya watu? Wanatuchanganya hawa makasisi! Kama wanajali, basi wazuie misa zote na shughuli za mazishi wazisitishe!Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
lakini ni ukweli, soma biblia
Hawana madhara hawa ni "DEBE TUPU" Waislamu nchi hii ndio wanaoogopesha.Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Waambie wafunge misa ili kuwanusuru watu na corona.kwa taaarifa yako katoliki ni taasis sio tu kanisa.
mkulu mwenyewe hawez tamka chafu mbele ya taasis kama catholic.
ya kanisa yabaki kanisani na siasa zibaki siasa
Usianze kashfa, kama huna cha kucoment siyo lazima kuandika. JiheshimuWale wakipewa tu ubwabwa wanaanza kusifu na kuabudu
pointlessNarudia tena, acha utoto dogo.
Si wanapambana na corona? Waambie wafunge misa wakau kwa miezi 2hoja yako ni nini hapa we dogo?
Kwanini hao maaskofu wa katoliki wasifunge ibada kabisa ili kupambana na corona?He's trying to show us how dimwit he is.
Ushahidi huu hapa na ndio maana yupo kama mkia kila viongozi wanapokuwepo na yeye yupoUsianze kashfa, kama huna cha kucoment siyo lazima kuandika. Jiheshimu
Milele aminaKabisa moja takatifu ,katoliki la mitume[emoji120]
Tumsifu yesu Kristu[emoji120]
Polr sana kwa kuoungua uelewa wa neno la Mungu. Tangu kale, tangu enzi za mitume, kanisa lilifanya biashara ili kujitegemeza na kuwategemeza waumini ambao hawakuwa na uwezo.wewe ndo unawaza ngono, guest house=biashara na biashara si misingi ya utume
Bakwata wale wa ubwabwa?!Haya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
biblia inasema nn juu ya kanisa kufanya biashara?Polr sana kwa kuoungua uelewa wa neno la Mungu. Tangu kale, tangu enzi za mitume, kanisa lilifanya biashara ili kujitegemeza na kuwategemeza waumini ambao hawakuwa na uwezo.
Msiwe mnaropoka mambo msiyoyajua. Waumini wa kale ambao hawakuwa na hela na walitaka kuwasaidia wasio na uwezo, walitoa viti vyao na kuvipeleka kanisani. Vitu hivyo viliuzwa (walifanyiwa biashara), hela iliyopatikana ilitumikabkuwasaidia wasio na uwezo na kuwategemeza watumishi wa Mungu.
Acha uoga, none of them can stop the time, hatuogopi Corona sembuse iwe hao Warumi? Na mapuppet wao...Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Huu ndio ushahidi unaoutumia kukashifu waislamu zaidi ya milioni 25 Tanzania? Kweli?Ushahidi huu hapa na ndio maana yupo kama mkia kila viongozi wanapokuwepo na yeye yupoView attachment 1717005
Kiburi cha uzima umekivaa..Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI