Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Sio siku hizi.kanisa katoliki linafanya biashara mbalimbali mahoteli ya kiafahari ulaya na amerika miaka mingi.wanamiliki hisa kwenye makampuni ya kimataifa,hospital,shule futilia shule zinazofanya vizuri. ndio maana wameendelea kuneza injili ,kutoa misaada kwa wahitaji.Yesu mwenyewe alipiga mvinyo So what?
Rejea maelezo yangu hapo juu.Alafu ujiulize kama hatua hiyo ni sahihi.Huwezi kupambana na kanisa catholic mkuuToeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
HUJUI KITU KAA KIMYAMuulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!
Mpuuzi kweli wewe, unaposema Yesu hakuleta dini ukristu/ukatoliki umetoka wapi? Rudi haraka ukatubu dhambi zako kabla hujafa ndugu.Huwezi sema eti Mungu hana dini wakati huyo Mungu umemjua kupitia dini kwa kufundishwa!Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Hunijui, hunilipii bando huimiliki JF halaf unasema nikae kimya?HUJUI KITU KAA KIMYA
Hakuna serikali yenye nguvu zaidi ya kanisa.Maana hata jeshini kuna waumini wakatoliki linalofuata mamlaka ya Papa, Vatican.Hivyo kwenda kinyume na kanisa ni mwanzo wa kuanza kujitengenezea vikundi vya waasi.Nilitegemea ungeweka ilo tamko/msimamo wa kanisa ndio I
iwe kitu cha kujadiliwa, badala yake unatoa vitisho Kwa serikali, sidhani ata kama hilo tamko limeitisha serikali Kwa namna yoyote sababu nguvu ya serikali yoyote kila mtu anaifahamu. Hakuna serikali dhaifu
Wewe mwenyewe umeelewa ulichokiandika?Toeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
Hujui serikali inavyofanya kazi kaa kimya.Hakuna serikali yenye nguvu zaidi ya kanisa.Maana hata jeshini kuna waumini wakatoliki linalofuata mamlaka ya Papa, Vatican.Hivyo kwenda kinyume na kanisa ni mwanzo wa kuanza kujitengenezea vikundi vya waasi.
Na wewe hujui kanisa linavyofanya kazi zake.Kaa kimyaHujui serikali inavyofanya kazi kaa kimya.
KKKT nao wamekoleza wapepiga pale pale kwenye mshono kudadadeqTunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Bakwata wamerahisishiwa kazi waanzie hapaHaya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Lete andikobiblia haiimizi kanisa kufanya biashara ndugu
Hiyo picha ndio inawakilisha Dini nzima? wazazi wako wana hasara kubwa sana kuzaa kiazi kama wewe,Usichezee ubwabwa aisee
Hiyo picha inajieleza na alifikia hatua ya kumfananisha jiwe na mtume
Vp unaongeleaje na hilo
A waste sperm you'reToeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
Weka andiko linalokatazahakuna sehemu ktk biblia inahimiza kanisa kufanya biashara
wewe wanenaKwa hiyo biaashara aachiwe ibilisi
ThibitishaKanisa katoliki linaongozwa na Mnyama aka mpinga Kristo
kumiliki gesti sio dhambi, lakini biashara sio misingi ya injiliKwa hiyo kumiliki guest house ni dhambi kwa mujibu wa aya gani?
hata masihi na mitume wake walifanya hivyo piaSio siku hizi.kanisa katoliki linafanya biashara mbalimbali mahoteli ya kiafahari ulaya na amerika miaka mingi.wanamiliki hisa kwenye makampuni ya kimataifa,hospital,shule futilia shule zinazofanya vizuri. ndio maana wameendelea kuneza injili ,kutoa misaada kwa wahitaji.Yesu mwenyewe alipiga mvinyo So what?
Wao wanachoweza kutamka ni mitano tena.Hivi bakwata wao hawajazungumza
Ova
nadhani mtoa post hawafaham hawa watu.Muulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!