Baada ya Sauti ya Wakatoliki kunena kiume jana, kuanzia leo wasianze Kutishwa na Wanasiasa kwani yatawakuta zaidi ya Corona

Baada ya Sauti ya Wakatoliki kunena kiume jana, kuanzia leo wasianze Kutishwa na Wanasiasa kwani yatawakuta zaidi ya Corona

Huyu padre kitima ni mtata sana.siyo mara ya kwanza kuitunishia misuli serikali.

Alimsumbua sana kikwete ktk wakati wake.

Na huyu ndio aliiponza sana saut.kipindi akiwa muhadhiri pale..
TCU ikawanyima wanafunzi.walipelekewa namba ndogo mno ya first year.
mpaka baadh ya matawi ya saut yakajifuta.

kanisa likae na huyo padre kwa umakini sana ikiwezekana afungwe breki.
IQ yake Padre Kitima inalinganishwa na ya Hayati Nyerere, Hayati Mkapa, Wayahudi ( Waisraeli ), Watutsi kutoka nchini Rwanda na yake All - Rounder tu, ila kwa Wanaomchukia ( hasa Watawala ) pamoja na Wasemaji Wao na Wapuuzi wenzao ( kama Wewe ) hawamfikii ( hamumfikii ) kabisa. Namkubali mno Father Kitima na nalipenda hadi Kuliamini Kanisa langu la Katoliki duniani.
 
Wewe ni mpumbavu na kama kanisa letu nalo linabariki mada hii pia ni pumbavu. Serikali haina dini. Kwanza hizo dini ujue zililetwa kama ulivyoletwa Ukoloni, Utumwa na Democrasia.
Shahawa zilizokuleta duniani zilikuwa na Funza pamoja na Fungus wengi.
 
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.

Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses

Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Ujui guest house, zilikuwepo/zipo karne kabla ya kuzaliwa masihi!! Ata bikira mariamu angemzaa masihi kwenye nyumba ya wageni, ni vile tu walikuta vyumba vimejaa.
 
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.

Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses

Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Wafu wenyewe ni mapadre na masister, nakukumbusha tuu.
 
Mbona hawa fungi ibada za mikusanyiko ya watu? Wanatuchanganya hawa makasisi! Kama wanajali, basi wazuie misa zote na shughuli za mazishi wazisitishe!
Hapo tutajua wako serious! Lakini maneno tu, ni kuchongansha serikali na umma! Wametumwa.
Jibu la swali lako unaweza kujibiwa na mseminari mwaka wa 1 na majibu yenyewe hata prof. akashindwa kujijitetea, kwahiyo nakushauri uachane na mapadre wale ni habari nyingine
 
Tunategemea mara baada ya tamko la Padri Kitima jumapili hii makanisa na vigango vyote vya wakatoliki vitafungwa na hakutakuwa na misa ili kuwakinga mapdri, masister na waumini kwa ujumla na hili janga ili waonyeshe mfano wa wao kama taasisi na kanisa wanavyojali na kupambana na hili janga
Unachotakiwa kujua ni kuwa kila jimbo katoliki lina mamlaka yake kamili yawezekana yapo majimbo yakawa na mtazamo tofauti.
 
IQ yake Padre Kitima inalinganishwa na ya Hayati Nyerere, Hayati Mkapa, Wayahudi ( Waisraeli ), Watutsi kutoka nchini Rwanda na yake All - Rounder tu, ila kwa Wanaomchukia ( hasa Watawala ) pamoja na Wasemaji Wao na Wapuuzi wenzao ( kama Wewe ) hawamfikii ( hamumfikii ) kabisa. Namkubali mno Father Kitima na nalipenda hadi Kuliamini Kanisa langu la Katoliki duniani.
Yule Fr. yuko fiti kichwani
 
Nadhani ni wakati muafaka kabisa Viongozi wa Kanisa wakubali tu kuendesha ibada kikamilifu kama tulivyozoea na kumalizia "Twendeni na amani ya bwana". Watu wasambaratike.
Hakuna cha kiongozi wa serikali kutoa hotuba wala kusalimia waumini! ikilazimu basi I'we nje ya kanisa uwanjani atakayetaka asikilize asiyetaka aendelee na yake.
Tushachoka sivyo tutaanza kuingia ibada yofauti na hatimaye ibada anayoingia iwe imepwaya nadhani kitaeleweka.!
 
Huu ndio ushahidi unaoutumia kukashifu waislamu zaidi ya milioni 25 Tanzania? Kweli?
Mkuu hapo hawasemwi Waislamu, Wanasemwa bakwata.
Waislamu na uislamu haunaga shida, shida Ni bakwata ndiyo wanaoukashifu uislamu
 
kanisa linawafunga sana akili sio siri huwezi fikiri nje ya box hata kidogo mpaka uwe mjanja sana na uwe ushaona vingi ndo unaweza kufikiri na kutafakari vizuri, umebatizwa una mieizi 6 hata baba yako humjui sembuse mungu umekulia ktk kafundisho na imani ya kikristo ukaaminishwa tangu utotoni, ni ngum sana kuvunja hizo chains

kwa reference hiyo hiyo ya kwako cha kwanza kanisa ni jumuiya ya watu walioipokea habari njema juu ya kristo kutubu dhambi zao na kumrejea mungu, kanisa sio jengo, petro alipewa mamlaka ya kusimamia uenezaji wa injili akisaidiana na wale mitume wengine, na wala biblia haisemi hilo kanisa litaitwa kanisa katoliki. kanisa katoliki limejimilikisha imani na kuaminishawatu waondo walipewa kanisa wakati imani ni kitu huru kama hewa, na wala halisemi kwamba kutakua na dini itakayoitwa ya kikristo, hata paulo katika nyaraka zake anatumia neno "kanisa", kwa kanisa la antiokia,galatia n.k na sio "wakristo"

na aliyesema hao waliobatizwa waitwe wakristo ni nani???
Wewe utakuwa ulileta uhuni wako seminari wakakutimua, au ulikuwa Padri ukaleta uhuni ukatimuliwa. Una bitterness na Kanisa katoliki utaondoka utaliacha. Eti Kanisa siyo jengo kwani Nani kakuambia Kanisa katoliki Ni jengo?!! Na je ni jumuiya ipi ya kiimani ambayo haina jengo?
 
Hivi bakwata wao hawajazungumza

Ova
Bakwata hawawezi zungumza Ila navojua waislamu watazungumza mda wowote. Tuwasubiri Waislamu wazungumze, hiyo Jumuiya ya ssm achana nayo.
 
Back
Top Bottom