Africa bado ile ile na watu wake weusi (Wanyama weusi) Mungu sijui hili bara uliwahi kututamkia nini, sijawah kufahamu, bado natafuta maandiko ya kwenye biblia juu ya Africa na watawala wake. Kwanin hatuna uzalendo? Kwann kila akiingia ofisin anaiba na kukosa uaminifu?
The same case kwa Lazaro Nyalandu, umetumikia Singida kazkazin 4 terms ikiwemo hii ulojivua, umekuwa Naibu waziri hatimaye Waziri, ukavuliwa Uwazir kutokana na Misuse of Public offices, umeshindwa kusimamia rasilimali za watanzania, ukashindwa bhas hata kuchukua fesha hizo ulizogawana wakat unauza twiga ili singida kazkazn ionekane, umeishia kukimbia marekani na kwingineko huku ukihamishia makazi yako mkoani Arusha na kuhama kutoka Singida, Mungu anakuona na huko uendako atakufuata iwapo watanzania wanapata shida kwa kufuja mali zao walizozaliwa nazo.
Leo unakimbilia Chadema, watakupokea eti pia kwamba wewe ni msafi, wakat huo walikuwa wakikutukana ukiwa CCM, husikii aibu?
Bado nauliza kwa Mungu juu ya bara la wanyama weusi.