Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Hapo ni very simple case, Nyalandu atasema alipewa maelekezo na raisi wa nchi na hiyo inakua mwisho wa mchezo
Hiyo sio excuse hata mattaka alisema hivyo hivyo akaulizwa majukumu yake yanaishia wapi. Unakumbuka kesi ya zombe ameachiwa huru lkn alishiriki kutoa amri.
 
Kwamba chadema inatoa kinga dhidi ya mashitaka au wanaweza kuzuia!
 
kashfa ya uuzwaji wa nyumba za serikali na manunuzi ya kivuko kibovu mahojiano yanaanza lini.?
 
Ila duh karibu miaka 3 ivi ayupo kwenye uwazir na sikusikia haya kwa ccm kuna nn baada ya kwenda chadema imekua shidah kwake naona mahakama ya mafisadi iwe live tujue nini kinaendelea duniani
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Umepata wapi hiyo story.
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Mchuma janga huchumia wakwao
 
Africa bado ile ile na watu wake weusi (Wanyama weusi) Mungu sijui hili bara uliwahi kututamkia nini, sijawah kufahamu, bado natafuta maandiko ya kwenye biblia juu ya Africa na watawala wake. Kwanin hatuna uzalendo? Kwann kila akiingia ofisin anaiba na kukosa uaminifu?

The same case kwa Lazaro Nyalandu, umetumikia Singida kazkazin 4 terms ikiwemo hii ulojivua, umekuwa Naibu waziri hatimaye Waziri, ukavuliwa Uwazir kutokana na Misuse of Public offices, umeshindwa kusimamia rasilimali za watanzania, ukashindwa bhas hata kuchukua fesha hizo ulizogawana wakat unauza twiga ili singida kazkazn ionekane, umeishia kukimbia marekani na kwingineko huku ukihamishia makazi yako mkoani Arusha na kuhama kutoka Singida, Mungu anakuona na huko uendako atakufuata iwapo watanzania wanapata shida kwa kufuja mali zao walizozaliwa nazo.

Leo unakimbilia Chadema, watakupokea eti pia kwamba wewe ni msafi, wakat huo walikuwa wakikutukana ukiwa CCM, husikii aibu?
Bado nauliza kwa Mungu juu ya bara la wanyama weusi.
 
hoja zako zinafifilishwa na hulka yako Ya kutaja vyama, UMEWAHI KUJIULIZA : mraba, Yona, Dr mlingwa, kitilya, masaki, Siyoi walishitakiwa wakiwa chama gani? Aden Rage je?.

Acha kujificha nyuma Ya kivuli cha vyama ili uwe na mawazo huru
 
Africa bado ile ile na watu wake weusi (Wanyama weusi) Mungu sijui hili bara uliwahi kututamkia nini, sijawah kufahamu, bado natafuta maandiko ya kwenye biblia juu ya Africa na watawala wake. Kwanin hatuna uzalendo? Kwann kila akiingia ofisin anaiba na kukosa uaminifu?

The same case kwa Lazaro Nyalandu, umetumikia Singida kazkazin 4 terms ikiwemo hii ulojivua, umekuwa Naibu waziri hatimaye Waziri, ukavuliwa Uwazir kutokana na Misuse of Public offices, umeshindwa kusimamia rasilimali za watanzania, ukashindwa bhas hata kuchukua fesha hizo ulizogawana wakat unauza twiga ili singida kazkazn ionekane, umeishia kukimbia marekani na kwingineko huku ukihamishia makazi yako mkoani Arusha na kuhama kutoka Singida, Mungu anakuona na huko uendako atakufuata iwapo watanzania wanapata shida kwa kufuja mali zao walizozaliwa nazo.

Leo unakimbilia Chadema, watakupokea eti pia kwamba wewe ni msafi, wakat huo walikuwa wakikutukana ukiwa CCM, husikii aibu?
Bado nauliza kwa Mungu juu ya bara la wanyama weusi.
hoja isiyopendwa
 
Kwa yoyote akitoka huko lazima aundiwe kashfa kwa nini iwe baada ya kuhama. Mahakama zipo kwa nini hiyo tuhuma iwe sasa ebu kuwe na ustaarabu .
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Samahani sana- Huyo Nyarandu ni nani??????? Mbona hueleweki?????? Kiswahili ndiyo hivyo jee ingekuwa kichina ??????
Tuheshimu majina yetu kwa kuyaandika yanavyostahili kuandikwa.
 
Yule so MTU wa simple lihivyo...hapo bwana yuuleee akijitahidi sana
 
Kuandika majina tu ya Nyalandu umeshindwa sasa sijui hayo maneno mengine hapo chini utakuwa umeandika nini

Na wewe eti ni kiumbe wa Lumumba unayetaka kutuonyesha ni mjenga hoja mzuri

Anyway katiba inaruhusu wewe kutoa maoni yako ila chonde chonde jua hadhira unayo kusuduia kuufikishia ujumbe wako

Naona aibu mimi kwa hichi ulicho andika

Jamaa jina tu la anayemrushia madongo ameshindwa kuliandika kwa ufasaha....

"RAZALO NYARANDU"

Nilipoona tu makosa haya ya kisarufi, nikatambua mara moja kuwa hapa tunalishwa matango pori....!!
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.

Aisee naona umeamua kutulisha matango pori mkubwa....

Spelling tu za jina la unayemtukana umeshindwa kuliandika kwa ufasaha, humo kichwani mwako utakuwa sawa kweli??

RAZALO NYARANDU *

LAZARO NYALANDU √
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Inashangaza kidogo kwa pande mbili zinazotetea na zinazopinga Mbunge husika kujiondoa huko alikokuwa na kwenda huko anakojiunga.Kwa miaka miwili kama sio moja(naweza kusahihishwa)iliyopita/uliopita gazeti la Jamhuri lilidadavua kwa undani na vidhibiti visivyotia shaka kuhusu mambo yaliyokuwa yanafanyika wizara ya maliasili na sekta ya utalii kiujumla.Nami nikiri nilikuwa mmoja wa watu niyesoma nakala za kila gazeti kipindi wanafukunyua mikataba ya vutalu ili kupata undani kilichokuwa kinajiri Wizara ya mali asili na sekta ya utalii kiujumla.Kilichonifurahisha ni jinsi waandishi walivyo kuwa wanaangusha na ushahidi wa documents(niliwanyanyulia mikono).Hivi hawa waandishi si wapo hai au walihama nchi?Hebu tupieni nakala hizo za marejeo ili watu wengi waone kilichokuwa kinajadiliwa sekta ya maliasili na utalii ikihusisha mikataba badala ya baadhi yetu kudhani mijadala kuhusu maliasili na utalii sintofahamu zake imeanza juzi tarehe 30 Octoba,2017.Ninaposoma comments za wachangiaji kwa siku nne mfululizo mpaka sasa najiuliza hawakusoma au kuona yaliyokuwa yanajadiliwa na Gazeti la Jamhuri na vielelezo vyake?Halafu ile clip ya Mbunge wa Arumeru bungeni aliyekuwa anachangia kuhusu wizara ya maliasili na sekta ya utalii kuhusu dada moja ambaye hakuwa "Miss Tanzania"wala mtumishi wa wizara/serikali kwenda Marekani kutangaza utalii wakati ni "muigiza wa tamthilia ya kidedea"walahi nilicheka.Hebu tunapojadili masuala ya nchi yenye manufaa kwa Watanzania tuangaze kimapana na kiweledi tusiangalie mambo ya kisiasa siasa ingawa mtu kujiunga na chama anachoona kinafaa ni hiari yake pia ni demokrasia lakini haipendezi asilani kuwa na ajenda ya kufukia mabaya yaliyofanyika nyuma ili yasikumbukwe na kushughulikiwa.
 
Back
Top Bottom