Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa CHADEMA Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa

Ila Waarabu tuliowauzia Bandari zote ni Wazuri!
 
Ila Waarabu tuliowauzia Bandari zote ni Wazuri!
Hakuna mzuri hata mmoja, sio mwarabu wala Mreno hakuna anayestahali kuombewa dua kwa lolote.Wote walaaniwe.Wakifanya mazuri sasa ni kujipendekeza kwao lakini waliyotufanyia hayasameheki.
 
Mwambie mama yako aache kwenda kuomba omba
 
Mwambie mama yako aache kwenda kuomba omba
Wewe ni house nigger tu.Ndio maana hoja zimekushinda umebakia kutukana. Watu wanajiuliza ulikuwa wapi kwenye maandamano wamesahau kuwa wewe ni kijakazi wa Sugu.
Sasa Sugu alikuwa amejificha sembuse wewe housegirl!
Uncle Tom mabwana zako wamekupa amri gani?Wewe ni remote control huna uwezo wa kufikiri mwenyewe. Bwege.
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜† shinikizo la kimataifa ndio nini?
 
Umezingua sana chawa
 
SHINIKIZO LA KIMATAIFA LIPI HILO MBONA MNAJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…