Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hata kuanzia tarehe 11/9/2024 mlipotangaza maandamano mlisema Rais hana ubavu wa kuyazuia maandamano yenu. Leo ni tarehe 23/9/2024 kiko wapi? Ahahahahaha! Na 2025 sio mbali!!!Huyu atang'olewa kirahisi sana 2025, Ni mwepesi kuliko pamba, Rais wa Nchi anategemea Shilole na Steve Nyerere wampe nchi! Uliona wapi?