Baada ya siku 100: Tunapoachana kwenye Mataa na Rais Samia

Siyo hisia kaandika ukweli mtupu! Labda wewe ni mbunge ndiyo maana unaona hayakuhusu.

Kuna kaji orodha chao wakisikia katiba mpya, Chadema, Mbowe, Corona na tahadhari zake wanapagawa kwa kiwango kisicho mfano.

Tunaendelea kuihuisha orodha yao.

Hawana hoja bali maslahi yao binafsi tu.
 
Hiyo form ya chanjo ibadilishwe iseme hivi
" I will not hold any organization for any adverse events that may happen after being vaccinated"

Hii kwanza sio chanjo kama chanjo za kawaida imepewa jina la chanjo kwa sababu watu wasije kudai fidia kwa yatakayo tokea.

Pia ipo kwa majaribio.

Ni mawazo tuu
 

Tatizo kubwa ni kuwa serikali ya JMT inatoa chanjo kinyume cha utaratibu. Kwani kabla ya mtu kuchanjwa ilipaswa kupimwa:

1. Blood Pressure
2. Sukari mwilini
3. Urefu
4. Maambukizi ya UVIKO

Hayo ni kwa mujibu wa maelekezo ya mtengeneza chanjo.

Yote hayo hayafanyiki na JMT inatoa chanjo. Kwanini basi kupanua uwanja hadi kwa organizations zingine?

JMT bado haina nia ya wazi ya kupambana na ugonjwa huu.

Umeona validity ya karatasi ilipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…