Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Mbona wakat wengne
tunanyongwa hak zetu hao wanaojita wanyonge hawakusema lolote... Kwel
NChi hii utasema suala la
wanyonge bla kuwaweka wafanyakaz kwel..... Au wanyonge maana yake n kuwa mama Lishe au machinga na boda boda! [emoji848][emoji848][emoji848]
Pia wakati wengine wakibabambikwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, wafanyakazi kutokupanda madaraja ndo kuliathiri hadi had hao wanyonge
 
Tangu tarehe 17 mwezi Machi Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya Watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha Hayati Rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lissu, Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe Watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lissu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa Rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Unaweza kutuambia ni sheria zipi au vifungu vipi vya katiba ambavyo Tundu Lissu, Mange Kimambi na hao wengine umewataja wamevikiuka paka kuitwa wasaliti? Au ni kwamba Mtanzania yoyote ambaye hakubaliani nawe ni msaliti?
 
Tangu tarehe 17 mwezi Machi Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya Watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha Hayati Rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lissu, Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe Watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lissu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa Rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Tundu Lisu hataiongoza hii nchi kamwe.
Hata ahamie CCM hii nchi kamwe hataiongoza. Nimepitia Twitter yake nimeona ujinga wa hali ya juu anaiponda hati maiti. Ukweli akija kushika hii nchi Tundu Lisu, nitajua nchi hii haina Usalama wa JWTZ.

Niliwahi kumkubali, lakini nimeona sura yake halisi. Haitatokea nitamke jina lake mbele za Mungu.

Ila kwa sheria na kuionesha serikali inapokosea bado namkubali sana, na ninatamani mama SSH amrudishe asaidie taifa kwa ngazi za zinazoendana na yeye.

Ila URAIS, nawaomba TISS, JWTZ wafuatilie vizuri maneno yake na wayasome kwa undani na waone kwa nini nasema hawezi shika nchi, maana ana kifua kidogo. Japo najua kuna TISS wanamkubali sana kama anavyojivuna mara kwa mara kuwa hizi taarifa nimepewa na TISS wakaribu naye.

Mwisho naomba Lissu aaminiwe kwa uongozi wowote ndani ya Tz ila kamwe asijekuwa msemaji wa Mwisho wa taifa. Ninaelewa ninachosema.
 
Tundu Lisu hataiongoza hii nchi kamwe.
Hata ahamie CCM hii nchi kamwe hataiongoza. Nimepitia Twitter yake nimeona ujinga wa hali ya juu anaiponda hati maiti. Ukweli akija kushika hii nchi Tundu Lisu, nitajua nchi hii haina Usalama wa JWTZ.

Niliwahi kumkubali, lakini nimeona sura yake halisi. Haitatokea nitamke jina lake mbele za Mungu.

Ila kwa sheria na kuionesha serikali inapokosea bado namkubali sana, na ninatamani mama SSH amrudishe asaidie taifa kwa ngazi za zinazoendana na yeye.

Ila URAIS, nawaomba TISS, JWTZ wafuatilie vizuri maneno yake na wayasome kwa undani na waone kwa nini nasema hawezi shika nchi, maana ana kifua kidogo. Japo najua kuna TISS wanamkubali sana kama anavyojivuna mara kwa mara kuwa hizi taarifa nimepewa na TISS wakaribu naye.

Mwisho naomba Lissu aaminiwe kwa uongozi wowote ndani ya Tz ila kamwe asijekuwa msemaji wa Mwisho wa taifa. Ninaelewa ninachosema.
Povu lote hili la nini mataga?
 
Pia wakati wengine wakibabambikwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, wafanyakazi kutokupanda madaraja ndo kuliathiri hadi had hao wanyonge
Sanaaaa..... Binafs naona wanao mourn humu jf n watu walonufaika na huyu baba (wateule tayar) au walokuwa wanasubr teuz, au kutoka Kanda maalum sasa hawaelew itakuwaje,..... Na wanao jitokeza barabran n watz wasoelewa lolote, ama wapo kushangaa au kuhakik au kupeleka muda au n kawaida yetu kuzkana hata uwe vp huwez kosa zkwa hapa tz.
 
Sanaaaa..... Binafs naona wanao mourn humu jf n watu walonufaika na huyu baba (wateule tayar) au walokuwa wanasubr teuz, au kutoka Kanda maalum sasa hawaelew itakuwaje,..... Na wanao jitokeza barabran n watz wasoelewa lolote, ama wapo kushangaa au kuhakik au kupeleka muda au n kawaida yetu kuzkana hata uwe vp huwez kosa zkwa hapa tz.
Waliokuwa wateule wanawaza kuwekwa benchi na waliokuwa wanasubiri favor imekula kwao, hao raia wanaoenda huko ni wameenda tu kushangaa ka ilivo hulka yetu watanzania.
Dah ila nawahurumia waliokuwa wanasifu na kujipendekeza imekula kwao, ndio maana maandiko yanasema alaaniwe anayemtegemea mwanadamu kuwa nguzo yake
 
Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Somo litakuwa limemwingia kuwa watanzania hatutaki watumikia Amsterdam au wakenya au wabelgiji tunataka mtumikia watanzania
 
Somo.litakuwa limemwingia kuwa watanzania hatutaki watumikia Amsterdam au wakenya au wabelgiji tunataka mtumikia watanzania
Kweli kabisa kaka
IMG_20210321_162402.jpg
 
Back
Top Bottom