Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Lakini,kuna nyani wengine wanaiba mazao shambani mwako huku anafanya vibweka ambavyo unabaki kucheka kwa furaha ukibugia zambarau kimtindo.Si sawa na "litembo" ambalo linakula mazao yako na kuvuruga shamba.Ukikaa vibaya anakuua.Chaguo ni lipi?
Nyani wapo mlemle na matembo yapo mlemle!!
 
Waliokuwa wateule wanawaza kuwekwa benchi na waliokuwa wanasubiri favor imekula kwao, hao raia wanaoenda huko ni wameenda tu kushangaa ka ilivo hulka yetu watanzania.
Dah ila nawahurumia waliokuwa wanasifu na kujipendekeza imekula kwao, ndio maana maandiko yanasema alaaniwe anayemtegemea mwanadamu kuwa nguzo yake
Walkua wapo active balaaaa..... Hakuna kibaya kwao[emoji23]
 
Hapo ulipo, safiri, halafu wapigie simu ndugu zako kuwa umetekwa. Waambie waende polisi kuripoti kabisa. Zima simu. Kaa kama mwezi 1 hivi halafu jitokeze. Uone kama ni maigizo au la.
Na wasiwasi na elimu yako. Polisi wanakitengo kinaitwa FRAUD.
Lissu hakushambuliwa na Bali alifanya maigizo ili kupata huruma ya kisiasa kimataifa
 
Leo Maelfu ya Watanzania wameenda kushangaa huku wakipiga miayo ya njaa

Ni victims wa CCM Propaganda machine

Uchumi wa kati sio Daraja linalomelemeta ni milo mitatu mezani
 
Leo Maelfu ya Watanzania wameenda kushangaa huku wakipiga miayo ya njaa

Ni victims wa CCM Propaganda machine

Uchumi wa kati sio Daraja linalomelemeta ni milo mitatu mezani
Nenda ukashangae na wewe mke wa mabeberu.
 
Hapo ulipo, safiri, halafu wapigie simu ndugu zako kuwa umetekwa. Waambie waende polisi kuripoti kabisa. Zima simu. Kaa kama mwezi 1 hivi halafu jitokeze. Uone kama ni maigizo au la.
Na wasiwasi na elimu yako. Polisi wanakitengo kinaitwa FRAUD.
Lisu hana faida yoyote kwa taifa hili, ni takataka.
 
Hapo ulipo, safiri, halafu wapigie simu ndugu zako kuwa umetekwa. Waambie waende polisi kuripoti kabisa. Zima simu. Kaa kama mwezi 1 hivi halafu jitokeze. Uone kama ni maigizo au la.
Na wasiwasi na elimu yako. Polisi wanakitengo kinaitwa FRAUD.
Elimu yangu yakawaida tu sijasoma sana,lakini mfano uliotoa sijakuelewa sababu ya Elimu.Naendelea kukufahamisha lissu hakushambuliwa na utawala wa magufuri Bali alipanga mwenye jamaa ya kushabuliwa ili kuchafua utawala wa JMP apate huruma ya kisiasa.Kwa akili yako ya kupambanua mambo risasi zaidi ya 30 zisiue mtu? kwa mfano duniani wapi lilitokea hilo tukio,lakini kwa lissu lilitokea
 
Elimu yangu yakawaida tu sijasoma sana,lakini mfano uliotoa sijakuelewa sababu ya Elimu.Naendelea kukufahamisha lissu hakushambuliwa na utawala wa magufuri Bali alipanga mwenye jamaa ya kushabuliwa ili kuchafua utawala wa JMP apate huruma ya kisiasa.Kwa akili yako ya kupambanua mambo risasi zaidi ya 30 zisiue mtu? kwa mfano duniani wapi lilitokea hilo tukio,lakini kwa lissu lilitokea
Wewe ni zombie mwenye ulimi unaotoa maneno
 
Chuma kimeondoka bila kutu,Chuma kimeondoka na mng'ao wake.

Ni swala la muda,tuachie muda utaongea.

RIP Magu
 
Back
Top Bottom