MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ungekuwa na Akili badala ya kutaka Kuihakiki hii Habari ungeenda tu katika Mtandao wa CAF ujiridhishe. Kuna Watu mna Upuuzi wa Kurithishwa.Screenshot icho chanzo tuone
Wazazi jitahidini sana Siku zingine mkiwa mnawapa Mimba Wake zenu basi hakikisheni mmejipanga ili msituletee duniani Mipumbavu kama huyu.Ushindi wa mazingaumbwe na tunguli,tujikute tunaujadili,kweli?
Na ni taarifa kutoka katika Mtandao rasmi wa CAF ambayo haina hata Saa Moja toka waitoe. Mimi sishabikii Simba SC ila kwa hili naipongeza mno.Utopolo aka vyura waanze kutuamkia.
Maana miaka ya ya hivi karibuni hawapati nafasi kuwakilisha nchi mpaka baba lao Simba akinukishe
Ni ushindiUshindi wa mazingaumbwe na tunguli,tujikute tunaujadili,kweli?
Mkuu nani kachukua kombe la ligi msimu huu?Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi...
Hebu onyesha hapa iyo habari ipo wapiNasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi.
Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF
Ni matumaini yangu sasa Timu zingine zote hasa ile yenye Washamba wengi nchini Tanzania itaitii na Kushukuru kubebwa sana tu na Simba SC.
Ubingwa wa VPL msahau, kama vipi bora komaeni na Mapinduzi Cup ili na nyie muwe na kitu kwenye jengo lenu.Hiyo itaisaidia Simba Kama itamaliza ligi ya pili mbele ya Azam, maana Yanga ataenda Champions League mwakani Kama bingwa wa VPL
Ushindi wa mazingaumbwe na tunguli,tujikute tunaujadili,kweli?
Kubali tu mlivyotarajia imeshindikana..Ushindi wa mazingaumbwe na tunguli,tujikute tunaujadili,kweli?
Ushindi wa mazingaumbwe na tunguli,tujikute tunaujadili,kweli?