Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Hesabu point za miaka mitano na huu uhesabu kurudi nyuma!So point hizi jumli na zile za mwaka juzi basi na kurudi nyuma,utakuta point hizi zimeongezea!
Kajiridhishe kwanza kabla hujaja hapa!

Hapo labda Libya afanye maajabu kitu ambacho ni ngumu!

Umesoma nilichoandika pasipo kuelewa point yangu ni ipi. CAF wanafanya ranking za association member baada ya msimu kuisha. Hiyo niliyoiweka mimi hapo juu sijajumuisha msimu huu bali nimeweka 5 year ranking kabla ya msimu huu sababu msimu huu bado caf hawatoa ranking. Hivyo nilikataa kuwa hakuna taarifa hiyo kutoka CAF kuhusu hiyo habari hizo ni habari za mitandaoni tu.

Tukirudi kwenye hoja yako ya pili kuhusu Libya, ni kwamba ukijumlisha point za Tanzania ukiweka na hizi za sasa ambapo Simba imeingia hatua ya makundi tutakuwa tumefikisha point 25 endapo simba itafika hatua ya robo fainali msimu huu. Ila endapo Simba hakishika nafasi ya tatu, Tanzania itakuwa imeongeza alama 2 badala ya 3 ndani ya msimu huu hivyo itakuwa na point 20. Na ikishika nafasi ya mwisho basi tutakuwa na point 15

Upande wa Libya

Mpaka sasa wanakuwa na point 11
Wakifuzu kuingia hatua ya makundi kwenye shirikisho na kushika nafasi ya pili basi watakuwa na point 21
Ila wakiishika nafasi ya tatu watakuwa na point 16
Na wakishika nafasi ya mwisho kwenye kundi watakuwa na point 13.5

Hapo ni Simba vs Libya sijamuongeza Namungo maana nae pia akifuzu hatua ya makundi ataiongezea taifa point.

Nilipokosea naomba nirekebishe
 
Umesoma nilichoandika pasipo kuelewa point yangu ni ipi. CAF wanafanya ranking za association member baada ya msimu kuisha. Hiyo niliyoiweka mimi hapo juu sijajumuisha msimu huu bali nimeweka 5 year ranking kabla ya msimu huu sababu msimu huu bado caf hawatoa ranking. Hivyo nilikataa kuwa hakuna taarifa hiyo kutoka CAF kuhusu hiyo habari hizo ni habari za mitandaoni tu.

Tukirudi kwenye hoja yako ya pili kuhusu Libya, ni kwamba ukijumlisha point za Tanzania ukiweka na hizi za sasa ambapo Simba imeingia hatua ya makundi tutakuwa tumefikisha point 25 endapo simba itafika hatua ya robo fainali msimu huu. Ila endapo Simba hakishika nafasi ya tatu, Tanzania itakuwa imeongeza alama 2 badala ya 3 ndani ya msimu huu hivyo itakuwa na point 20. Na ikishika nafasi ya mwisho basi tutakuwa na point 15

Upande wa Libya

Mpaka sasa wanakuwa na point 11
Wakifuzu kuingia hatua ya makundi kwenye shirikisho na kushika nafasi ya pili basi watakuwa na point 21
Ila wakiishika nafasi ya tatu watakuwa na point 16
Na wakishika nafasi ya mwisho kwenye kundi watakuwa na point 13.5

Hapo ni Simba vs Libya sijamuongeza Namungo maana nae pia akifuzu hatua ya makundi ataiongezea taifa point.

Nilipokosea naomba nirekebishe
Hivi hizi point huwa wana calculate namna gani?
 
Tupe official source ya hii taarifa sio kuleta screenshot isiyoonesha taarifa imetolewa wapi. Hii ni JF sio facebook, tunahitaji taarifa sahihi ikiambatanishwa na ushahidi wa taarifa hiyo.
Ujinga ni mzigo wa misumari , kwani 2018 kulikua na official release?? Nyie waluga luga wa wapi? Umeshindwa hata kuzama Google kuangalia namna point zinavyo gawiwa ukajumla mwenyewe? Mnatia aibu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Ujinga ni mzigo wa misumari , kwani 2018 kulikua na official release?? Nyie waluga luga wa wapi? Umeshindwa hata kuzama Google kuangalia namna point zinavyo gawiwa ukajumla mwenyewe? Mnatia aibu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app

Mtu yeyote anaishia kutoa kejeli na matusi huyo hajui kujibu hoja na kichwani ni mweupe hivyo kejeli na matusi ndio silaha kwake. Usipoelewa na hapa basi wewe upo kubishana. CAF hawatoi five year ranking ya msimu mpya kabla ya michuano kuisha. Umeona mwenzio nilivyompigia hesabu za point hapo juu? Na ndio maana CAF wanasubiri mpaka klabu bingwa inaisha na shirikisho linaisha kisha wanatoa five year ranking kwa association members wake wote.
Msimu wa 2018/2019 Simba aliingiza point tatu baada ya kushika nafasi ya pili kwenye kundi na kuingia robo

Nakuuliza swali hili, unaweza kuniambia katika msimu huu mpaka sasa simba imeingiza point ngapi?
 
Ujinga ni mzigo wa misumari , kwani 2018 kulikua na official release?? Nyie waluga luga wa wapi? Umeshindwa hata kuzama Google kuangalia namna point zinavyo gawiwa ukajumla mwenyewe? Mnatia aibu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Ngoja nikupe somo wewe pamoja na mashabiki wengine ambao wamekuwa zoa zoa wa habari za mitandaoni bila kutumia akili zao. Wakisikia Kishingo kapigana na Kagere wao wanashahadadia tu bila kujipa muda wa kujua ukweli.

Ipo hivi Kuelekea msimu mpya wa 2021/2022:

CAF watachukua performance za timu kwa misimu mitano (2017-2021)

Mwaka 2017 Tanzania tulikuwa na point. 0
Mwaka 2018 point. 0.5
Mwaka 2019 point. 3
Mwaka 2020 point. 0
Mwaka 2021 point ?

Mwaka 2017 point zinazidishwa kwa 1
2018 point zinazidishwa kwa 2
2019 point zinazidishwa kwa 3
2020 point zinazidishwa kwa 4
2021 point zinazidishwa kwa 5

Sasa tuje kwenye msimu huu wa 2021

Ni kwamba hakuna point inayotelewa tu kwavile timu imeingia makundi bali point hutolewa baada kumaliza hatua ya makundi.

Ukishika nafasi ya mwisho kwenye kundi unakuwa na point 1
Nafasi ya tatu unakuwa na point 2
Kufuzu kwenda robo fainali (wa kwanza au wa pili kwenye kundi) unakuwa point 3
 
Najua wewe hujui lolote mfuata mkumbo, na ndio maana sijakuuliza wewe. Angalia niliye m-quote ni nani.
Na Mimi Kuwajibu na kuwapa Ufafanuzi Majuha ( Morons ) wa mfano wako huwa ni kawaida ( desturi ) yangu. Naamini utakuwa Umeelimika zaidi.
 
Na Mimi Kuwajibu na kuwapa Ufafanuzi Majuha ( Morons ) wa mfano wako huwa ni kawaida ( desturi ) yangu. Naamini utakuwa Umeelimika zaidi.
Juha ni wewe unayechukua habari za Instagram bila kuifanyia utafiti halafu unakuja kusema Caf wamesema. Ndio nyie shuleni mlikuwa mnaigizia hadi majibu ya uongo.
 
Juha ni wewe unayechukua habari za Instagram bila kuifanyia utafiti halafu unakuja kusema Caf wamesema. Ndio nyie shuleni mlikuwa mnaigizia hadi majibu ya uongo.
Na kawaida wapiga chabo Kitaaluma ( Waigiziaji ) Mashuleni huku katika Maisha ndiyo huwa na Mafanikio Kifedha kuliko nyie Bookworms wengi.
 
Kwaiyo Yanga ikiwemo kwenye ilo kundi la timu nne watakuwa kama kundi la viti maalum la kinadada wa Chadema almaaruf Covid-19?
 
Sijaona hii taarifa kwenye mtandao wa CAF. na pia CAF wanafanya 5 year ranking baada ya mashindano kumalizika na wala sio timu zikiingia makundi tu. Kwa kila hatua timu inayofikia kunakuwa na point zake. Tanzania inashika nafasi ya 13 mpaka sasa kwa kutumia 5 year ranking ya msimu wa
(2016 -2020) na waliopo juu yetu wote timu zao zimefuzu kwenda hatua ya makundi kasoro inch ya Nigeria, Libya na Zambia ambazo timu zao zimeshindwa kwenda hatua ya makundi hivyo kuangukia kwenye play off ya shirikisho. Hivyo hizo nchi zinaweza kutetea nafasi zao endapo zitafuzu kwenye group stage kombe la shirikisho wataiongezea point inchi zao.

Na wakifika mbali zaidi ya hatua hiyo basi na point pia zitakuwa zinaongezeka. Hivyo Caf hawawezi kutoa award points kabla ya mashindano kumalizika. Kikubwa kuiombea Namungo wafuzu ili kazi ya kuiongezea taifa point iwe nyepesi kwa kuwa na timu mbili, na la pili ni kuniziombea timu zetu zote mbili zifike mbali zaidi. Na Cha tatu ni kuziombea zile inchi 12 zilizo juu yetu basi inchi moja wapo timu yakw ishindwe kwenda hatua za juu zaidi ili wasiongeze point.

N.b
Caf wanaruhusu inchi 12 tu ndizo ziinazoingiza timu nne kwenye michuano ya kimataifa kwa kuzingatia record ya performance ya timu zao ndani ya misimu mitano kwenye ngazi ya champions league na confederation cup
Ndugu umedanganya bhana ukisimuliwa tafuta ukweli halisi
 
Kipengele kipi nilichodanganya? Na usahihi wake ni upi?
Hiyo rank ya miaka mitano hapana ni kwamba mwakani ni lazima tanzania itaingiza timu 2 CL na timu 2 confederation hakuna kumsubiria libya.

Iko hiv hizo point inazozipata timu mwaka huu zitadumu kwa muda wa miaka mitano baada ya hapo zitakuwa zinapotea lakini point zako zikifikia kwenye ile rank ya CaF kuingiza timu 4 kwenye mashindano yao hautasubir miaka yeyote ni msimu mpya ukianza na ninyi mnaingiza hizo timu wakati huo kuna taifa moja wapo linapoteza hiyo nafasi
kama ilivyokuwa kwa Tz msimu uliopita na itakavyo kuwa kwa libya msimu ujao
 
Back
Top Bottom