Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi.

Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF

Ni matumaini yangu sasa Timu zingine zote hasa ile yenye Washamba wengi nchini Tanzania itaitii na Kushukuru kubebwa sana tu na Simba SC.
Sijaona hii taarifa kwenye mtandao wa CAF. na pia CAF wanafanya 5 year ranking baada ya mashindano kumalizika na wala sio timu zikiingia makundi tu. Kwa kila hatua timu inayofikia kunakuwa na point zake. Tanzania inashika nafasi ya 13 mpaka sasa kwa kutumia 5 year ranking ya msimu wa
(2016 -2020) na waliopo juu yetu wote timu zao zimefuzu kwenda hatua ya makundi kasoro inch ya Nigeria, Libya na Zambia ambazo timu zao zimeshindwa kwenda hatua ya makundi hivyo kuangukia kwenye play off ya shirikisho. Hivyo hizo nchi zinaweza kutetea nafasi zao endapo zitafuzu kwenye group stage kombe la shirikisho wataiongezea point inchi zao.

Na wakifika mbali zaidi ya hatua hiyo basi na point pia zitakuwa zinaongezeka. Hivyo Caf hawawezi kutoa award points kabla ya mashindano kumalizika. Kikubwa kuiombea Namungo wafuzu ili kazi ya kuiongezea taifa point iwe nyepesi kwa kuwa na timu mbili, na la pili ni kuniziombea timu zetu zote mbili zifike mbali zaidi. Na Cha tatu ni kuziombea zile inchi 12 zilizo juu yetu basi inchi moja wapo timu yakw ishindwe kwenda hatua za juu zaidi ili wasiongeze point.

N.b
Caf wanaruhusu inchi 12 tu ndizo ziinazoingiza timu nne kwenye michuano ya kimataifa kwa kuzingatia record ya performance ya timu zao ndani ya misimu mitano kwenye ngazi ya champions league na confederation cup
 
Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi.

Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF

Ni matumaini yangu sasa Timu zingine zote hasa ile yenye Washamba wengi nchini Tanzania itaitii na Kushukuru kubebwa sana tu na Simba SC.
Safiiiiiiii!
Dadeki...
 
Ila maisha yanakwwnda kazi, Morrison sasa hivi kawa kama Muchacho group? Yani ni mshangiliaji mzuri sana jukwaani.
 
Sijaona hii taarifa kwenye mtandao wa CAF. na pia CAF wanafanya 5 year ranking baada ya mashindano kumalizika na wala sio timu zikiingia makundi tu. Kwa kila hatua timu inayofikia kunakuwa na point zake. Tanzania inashika nafasi ya 13 mpaka sasa kwa kutumia 5 year ranking ya msimu wa
(2016 -2020) na waliopo juu yetu wote timu zao zimefuzu kwenda hatua ya makundi kasoro inch ya Nigeria, Libya na Zambia ambazo timu zao zimeshindwa kwenda hatua ya makundi hivyo kuangukia kwenye play off ya shirikisho. Hivyo hizo nchi zinaweza kutetea nafasi zao endapo zitafuzu kwenye group stage kombe la shirikisho wataiongezea point inchi zao.

Na wakifika mbali zaidi ya hatua hiyo basi na point pia zitakuwa zinaongezeka. Hivyo Caf hawawezi kutoa award points kabla ya mashindano kumalizika. Kikubwa kuiombea Namungo wafuzu ili kazi ya kuiongezea taifa point iwe nyepesi kwa kuwa na timu mbili, na la pili ni kuniziombea timu zetu zote mbili zifike mbali zaidi. Na Cha tatu ni kuziombea zile inchi 12 zilizo juu yetu basi inchi moja wapo timu yakw ishindwe kwenda hatua za juu zaidi ili wasiongeze point.

N.b
Caf wanaruhusu inchi 12 tu ndizo ziinazoingiza timu nne kwenye michuano ya kimataifa kwa kuzingatia record ya performance ya timu zao ndani ya misimu mitano kwenye ngazi ya champions league na confederation cup
Labda jamaa alikuwa anatania tu
 
Hebu onyesha hapa iyo habari ipo wapi

Nenda katika Kurasa za Mitandao za Msemaji wa Azam FC Zaka za Kazi ( Thabit ) utakuta ameoweka Taarifa hii na Kuitolea Ufafanuzi wake sawa?
 
Sijaona hii taarifa kwenye mtandao wa CAF. na pia CAF wanafanya 5 year ranking baada ya mashindano kumalizika na wala sio timu zikiingia makundi tu. Kwa kila hatua timu inayofikia kunakuwa na point zake. Tanzania inashika nafasi ya 13 mpaka sasa kwa kutumia 5 year ranking ya msimu wa
(2016 -2020) na waliopo juu yetu wote timu zao zimefuzu kwenda hatua ya makundi kasoro inch ya Nigeria, Libya na Zambia ambazo timu zao zimeshindwa kwenda hatua ya makundi hivyo kuangukia kwenye play off ya shirikisho. Hivyo hizo nchi zinaweza kutetea nafasi zao endapo zitafuzu kwenye group stage kombe la shirikisho wataiongezea point inchi zao.

Na wakifika mbali zaidi ya hatua hiyo basi na point pia zitakuwa zinaongezeka. Hivyo Caf hawawezi kutoa award points kabla ya mashindano kumalizika. Kikubwa kuiombea Namungo wafuzu ili kazi ya kuiongezea taifa point iwe nyepesi kwa kuwa na timu mbili, na la pili ni kuniziombea timu zetu zote mbili zifike mbali zaidi. Na Cha tatu ni kuziombea zile inchi 12 zilizo juu yetu basi inchi moja wapo timu yakw ishindwe kwenda hatua za juu zaidi ili wasiongeze point.

N.b
Caf wanaruhusu inchi 12 tu ndizo ziinazoingiza timu nne kwenye michuano ya kimataifa kwa kuzingatia record ya performance ya timu zao ndani ya misimu mitano kwenye ngazi ya champions league na confederation cup
Wewe Mpuuzi hebu acha kunipotezea muda wangu sawa? Na hakuna mahala nilipokulazimisha ukubaliane nami, ila hiyo ndiyo Taarifa ya Ukweli.
 
Ila maisha yanakwwnda kazi, Morrison sasa hivi kawa kama Muchacho group? Yani ni mshangiliaji mzuri sana jukwaani.
Kwa Chuki zako kwa Simba SC na Ushindi wake ulichokiona kwa haraka ni Matukio ya Bernard Morrison ila siyo Kuipongeza Kidhati hasa Simba SC.
 
Simba kajibeba mwenyewe maana keshaona vpl this time Hana chake, na huo ndiyo ukweli anayebisha mchawi tu.
 
Simba kajibeba mwenyewe maana keshaona vpl this time Hana chake, na huo ndiyo ukweli anayebisha mchawi tu.
ha ha huwa mnaongoza hivyo hivyo tena mwaka huu ni point chache sana, lakini mwisho wa siku wenye kombe wanalichukua tu
 
Nenda katika Kurasa za Mitandao za Msemaji wa Azam FC Zaka za Kazi ( Thabit ) utakuta ameoweka Taarifa hii na Kuitolea Ufafanuzi wake sawa?
Sasa huyo ndio website ya CAF , kusikia tu kwa huyo Jamaa umekurupukaa mbio kuja kusema CAF , haya badilisha Uzi wako , ni taarifa kutoka kwa huyo sijui ndio zaka , maana kwenye website ya CAF haipo hiyo habari, usipende kukurupuka
 
Hebu onyesha hapa iyo habari ipo wapi

Waliopanda na walio shuka , Next season tunapeleka timu 4
IMG-20210106-WA0036.jpg


Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom