Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

Hiyo rank ya miaka mitano hapana ni kwamba mwakani ni lazima tanzania itaingiza timu 2 CL na timu 2 confederation hakuna kumsubiria libya.

Iko hiv hizo point inazozipata timu mwaka huu zitadumu kwa muda wa miaka mitano baada ya hapo zitakuwa zinapotea lakini point zako zikifikia kwenye ile rank ya CaF kuingiza timu 4 kwenye mashindano yao hautasubir miaka yeyote ni msimu mpya ukianza na ninyi mnaingiza hizo timu wakati huo kuna taifa moja wapo linapoteza hiyo nafasi
kama ilivyokuwa kwa Tz msimu uliopita na itakavyo kuwa kwa libya msimu ujao
Kwahiyo unataka kuniambia kwamba kunaweza kukawa na taifa zaidi ya 12 ambazo zinaruhusiwa kuingiza timu 4 kikubwa ni kufikia point tu?
 
Kwahiyo unataka kuniambia kwamba kunaweza kukawa na taifa zaidi ya 12 ambazo zinaruhusiwa kuingiza timu 4 kikubwa ni kufikia point tu?
Tanzania tumemshusha libya wao wapo wa 13 sasa tumeichukuwa hiyo nafasi ya kupeleka 4 teams wao wamepoteza
 
Wazazi jitahidini sana Siku zingine mkiwa mnawapa Mimba Wake zenu basi hakikisheni mmejipanga ili msituletee duniani Mipumbavu kama huyu.
Sikujua kama mtu akibadili ID ujinga wake unaendelea kuwa uleule.
 
Tanzania tumemshusha libya wao wapo wa 13 sasa tumeichukuwa hiyo nafasi ya kupeleka 4 teams wao wamepoteza
Kwani timu inayotoka inchi ya Libya ikifanya vizuri kwenye confederation cup msimu huu, je point point zao haziongezeki? Je unajua mpaka sasa Tanzania haijapewa exactly point kwasababu bado michezo ya group stage haijacheza?
 
Tanzania tumemshusha libya wao wapo wa 13 sasa tumeichukuwa hiyo nafasi ya kupeleka 4 teams wao wamepoteza
Kuingiza timu nne haipo guarantee, isipokuwa inategemea na performance ya timu za Tanzania na huku tukiiombea dua timu kutoka Libya isifanye vizuri.

ni kwamba ukijumlisha point za Tanzania ukiweka na hizi za sasa ambapo Simba imeingia hatua ya makundi tutakuwa tumefikisha point 25 endapo simba itafika hatua ya robo fainali msimu huu. Ila endapo Simba hakishika nafasi ya tatu, Tanzania itakuwa imeongeza alama 2 badala ya 3 ndani ya msimu huu hivyo itakuwa na point 20. Na ikishika nafasi ya mwisho basi tutakuwa na point 15

Upande wa Libya

Mpaka sasa wanakuwa na point 11
Wakifuzu kuingia hatua ya makundi kwenye shirikisho na kushika nafasi ya pili basi watakuwa na point 21
Ila wakiishika nafasi ya tatu watakuwa na point 16
Na wakishika nafasi ya mwisho kwenye kundi watakuwa na point 13.5

Hapo ni Simba vs Libya sijamuongeza Namungo maana nae pia akifuzu hatua ya makundi ataiongezea taifa point.

Hapo unasemaje?
 
Back
Top Bottom