Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini ahamishwe badala ya kufukuzwa?Ummy amepwaya kwenye afya ahamishwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ahamishwe badala ya kufukuzwa?Ummy amepwaya kwenye afya ahamishwe
Ooh. Kimewaka tayari. Oddo kashatoka piaBinafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-
1 . January Makamba
2. Mwigulu Mchemba
3. Nape Nnauye
Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania, hawa ni zaidi mifumo ndani ya mfumo .
Soma pia: Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu
Oya tunautoaje huo mfumo aiseee mie naona tunazidi kumbwela tuuKuwaondoa mawaziri watatu haitasaidia kitu. Suluhisho ni kuwaondoa Ccm madarakani.
Kivipi?January anaandaliwa kuwa Rais.
Januari tayari yuko nje. Nasikia alikuwa na ukwasi ukadiriwao kufikia Tsh 80 Billion na Nape Tsh 40 Billion.Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji yaende ambayo ilipelekea mgao hadi leo unalitesa taifa ni kosa kubwa mno
Kitendo cha kusaini kukodisha App kutoka India kwa bilioni 70 kwa ajili ya Tanesco ni kosa kubwa na wizi mbaya sana
Matrilioni ya ukarabati yaliyoliwa
Matrilioni ya REA yaliyoliwa
Matrilioni ya Kufumua grid yaliyoliwa
Mabilioni ya vifaa kama luku, mitambo, nk yaliyotafunwa
Bado madudu ya siri ya kushirikiana na taifa gesi,makampuni ya kuagiza mafuta, na majenereta kwakweli ni balaa
Januari Makamba alipaswa kunyongwa na siyo kuhamishwa Wizara. Ila iko siku yake atakuja kujibu alikopeleka Matrilioni ya fedha aliyopewa na Samia kwa ajili ya ukarabati mara alipoingia wizara ya nishati mwaka 2021