Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji yaende ambayo ilipelekea mgao hadi leo unalitesa taifa ni kosa kubwa mno

Kitendo cha kusaini kukodisha App kutoka India kwa bilioni 70 kwa ajili ya Tanesco ni kosa kubwa na wizi mbaya sana

Matrilioni ya ukarabati yaliyoliwa

Matrilioni ya REA yaliyoliwa

Matrilioni ya Kufumua grid yaliyoliwa

Mabilioni ya vifaa kama luku, mitambo, nk yaliyotafunwa

Bado madudu ya siri ya kushirikiana na taifa gesi,makampuni ya kuagiza mafuta, na majenereta kwakweli ni balaa

Januari Makamba alipaswa kunyongwa na siyo kuhamishwa Wizara. Ila iko siku yake atakuja kujibu alikopeleka Matrilioni ya fedha aliyopewa na Samia kwa ajili ya ukarabati mara alipoingia wizara ya nishati mwaka 2021
Ni kweli leo amenyongwa kisiasa
 
Kumbe britanicca alilijuwa hilo. Maana kwenye post yake ya mtandao X alipost hivi:

20240723_125700.jpg
 
Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka

Britanicca
Hiyo Si ni treason kwanini wako hai?
 
Treason ni kupindua kwa upanga au mtutu Ila hii ya kupanga njama za kumdhoofisha kwenye chama ili akataliwe ni different!

Alafu kwa nyakati hizi treason inadiliwa softly na mtu kupotezwa taratibu si Kama zama za miaka ya 70
Sasa kama walijaribu na wanaachwa waendelee kujaribu Si Kuna siku watafanikiwa?
 
Back
Top Bottom