Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #121
Shukrani Mama kwa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na mimi napewa shavu lini huko? Naamini una taarifa za kila mtu! Maana si mchezo tabiri zako.Yea yea yea
mwamba mchawiNamba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Bado mmojaBinafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-
1 . January Makamba
2. Mwigulu Mchemba
3. Nape Nnauye
Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania, hawa ni zaidi mifumo ndani ya mfumo .
Soma pia: Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu
Ni kweli leo amenyongwa kisiasaKitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji yaende ambayo ilipelekea mgao hadi leo unalitesa taifa ni kosa kubwa mno
Kitendo cha kusaini kukodisha App kutoka India kwa bilioni 70 kwa ajili ya Tanesco ni kosa kubwa na wizi mbaya sana
Matrilioni ya ukarabati yaliyoliwa
Matrilioni ya REA yaliyoliwa
Matrilioni ya Kufumua grid yaliyoliwa
Mabilioni ya vifaa kama luku, mitambo, nk yaliyotafunwa
Bado madudu ya siri ya kushirikiana na taifa gesi,makampuni ya kuagiza mafuta, na majenereta kwakweli ni balaa
Januari Makamba alipaswa kunyongwa na siyo kuhamishwa Wizara. Ila iko siku yake atakuja kujibu alikopeleka Matrilioni ya fedha aliyopewa na Samia kwa ajili ya ukarabati mara alipoingia wizara ya nishati mwaka 2021
Tusisahau Siasa ni mchezo mchafuNi kweli leo amenyongwa kisiasa
😆😆😆mwamba mchawi
Now you can buy ?😆😆😆I can't buy this! Just I can't.
Watu wawe na akiba ya manenoNow you can buy ?😆😆😆
Wewe ni lishangazi🤣Mkuu na mimi napewa shavu lini huko? Naamini una taarifa za kila mtu! Maana si mchezo tabiri zako.
Ummy amepwaya kwenye afya ahamishwe4. Ummy Mwalimu
5. Aweso
6. Masauni
7. Suleman Jafo
8. Ashatu Kijaji
9. Huseni Bashe
YesEbhanaeeee duh
MhI can't buy this! Just I can't.
Hiyo Si ni treason kwanini wako hai?Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Sasa huyo mteuliwa kama hujui hao uliwataja ndio wamependekeza Hilo,,Kama Una lingine semaa,,hao hawatoki##FarikiTuu##🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Treason ni kupindua kwa upanga au mtutu Ila hii ya kupanga njama za kumdhoofisha kwenye chama ili akataliwe ni different!Hiyo Si ni treason kwanini wako hai?
Sasa kama walijaribu na wanaachwa waendelee kujaribu Si Kuna siku watafanikiwa?Treason ni kupindua kwa upanga au mtutu Ila hii ya kupanga njama za kumdhoofisha kwenye chama ili akataliwe ni different!
Alafu kwa nyakati hizi treason inadiliwa softly na mtu kupotezwa taratibu si Kama zama za miaka ya 70
Si mchezoTreason ni kupindua kwa upanga au mtutu Ila hii ya kupanga njama za kumdhoofisha kwenye chama ili akataliwe ni different!
Alafu kwa nyakati hizi treason inadiliwa softly na mtu kupotezwa taratibu si Kama zama za miaka ya 70