Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #81
Kenge lipi ?Mbona mnawaigopa sana hao watu,Huwa wanawafanyaje?
Mwisho kwani Nchi hii inaendeshwa Ili kufurahisha magenge ya watu kama mtoa mada au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenge lipi ?Mbona mnawaigopa sana hao watu,Huwa wanawafanyaje?
Mwisho kwani Nchi hii inaendeshwa Ili kufurahisha magenge ya watu kama mtoa mada au?
Sasa kumbe kuna haja ya kuvunja baraza zima la Mawaziri, maana namba inakuwa kubwa hii!4. Ummy Mwalimu
5. Aweso
6. Masauni
7. Suleman Jafo
8. Ashatu Kijaji
9. Huseni Bashe
kuwaondoa CCM madarakani kutawafanya watawala wawaheshimu wananchi. Kila aliyechaguliwa atajua wananchi wanaweza kumuondoa asipotatua changamoto zao.Kwa kumtumia mzee Mbowe anaendekeza ukabila ?
Aka michwa wa taifa wanatafuna hadi udongo wa kichuguuKweli hao ni donda ndugu, je wakiondoka mambo yatakuwa sawa? Hapana. Hata mama akiondoka, je mambo yatakuwa sawa? Hapana, kuna msoga...
Kuna kakikundi cha watu, Tz ni kama mali yao. Mpaka hao wapukutike wote, si leo... ✍️
Wana msaada gani hawa zaidi ya wizi wa mali za umma?Sasa kumbe kuna haja ya kuvunja baraza zima la Mawaziri, maana namba inakuwa kubwa hii!
Nape na Mwigulu ni waislamu? ndiyo maana nimeanza no 3 badala ya 1Mbona kama huwapendi watu wa FaizaFoxy ?
Ni majangili haswaNinaunga Mkono hoja hawa mawaziri ni Majipu yanayofaa kutumbuliwa na Mheshimiwa Rais Mama Samia.
Sawa sawa kabisa, hawa jamaa ni vilaza na ndiyo maana Magufuli aliwatema mapemaaaa, hawafai hata kuwa wakuu wa WilayaBinafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-
1 . January Makamba
2. Mwigulu Mchemba
3. Nape Nnauye
Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania, hawa ni zaidi mifumo ndani ya mfumo .
Soma pia: Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu
Chama kinachoitwaje?..nisaidie ...nachoelewa mimi ni kuwa CCM ni kama kabila linaloitwa CHAGA .. ndani yake kuna Machame,Rombo,Marangu,n.k..unatamani CCM gani hapo?Nehemiah unaonaje CCM ikiondoka kikaja Chama chengine
Bado una akili za kizamaniChama kinachoitwaje?..nisaidie ...nachoelewa mimi ni kuwa CCM ni kama kabila linaloitwa CHAGA .. ndani yake kuna Machame,Rombo,Marangu,n.k..unatamani CCM gani hapo?
Sawa mkuuNape na Mwigulu ni waislamu? ndiyo maana nimeanza no 3 badala ya 1
Kiuchumi tuko mstari sahihi uliza hata majirani zetu mkuuYaani wewe hata mwigulu unaona Yuko vizuri ?!
Nchi nzima inakula matunda ya viongozi tajwa nduguBasi utakuwa mnufaika mmoja wapo
jibu ni hapanaNdio walivyokuambia walipokutuma uandike humu au Dr hyperkid hii Ni moja ya id zao nyingi?
Akutolee wewe ukiwa kama nani? Yeye bado ana Imani nao na anaona wanamsaidia katika uongozi wakeBinafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-
1 . January Makamba
2. Mwigulu Mchemba
3. Nape Nnauye
Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania, hawa ni zaidi mifumo ndani ya mfumo .
Soma pia: Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu
Mstari gani huo ?Kiuchumi tuko mstari sahihi uliza hata majirani zetu mkuu
HakikaSasa kumbe kuna haja ya kuvunja baraza zima la Mawaziri, maana namba inakuwa kubwa hii!
Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Kuna memba mwenzetu, Tumia akili kapotea kitambo jukwaani, bila shaka washagundua ni nani.
Asante..Akili zetu zina lenga individuals wakati tatizo la Tanzania ni mfumo mzima, hata akiweka wengine mwendo ni ule ule.
Kwanini isitoke CCM na tuwe na sheria mpya?Binafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-
1 . January Makamba
2. Mwigulu Mchemba
3. Nape Nnauye
Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania, hawa ni zaidi mifumo ndani ya mfumo .
Soma pia: Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu