Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂lete manenooo
lilisikika lile fisadi la msoga chalinze
Kupitia njia gani Mkuu,Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Hata kwa hao tutashukuru piaNamba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Mbona hawa hawana shida?4. Ummy Mwalimu
5. Aweso
6. Masauni
7. Suleman Jafo
8. Ashatu
9. Huseni Bashe
Ndio walivyokuambia walipokutuma uandike humu au Dr hyperkid hii Ni moja ya id zao nyingi?Mbona hao uliowataja wako vizuri ndugu Kwa ujumla sijaona shida kwa hao viongozi tajwa
Basi utakuwa mnufaika mmoja wapoMbona hao uliowataja wako vizuri ndugu Kwa ujumla sijaona shida kwa hao viongozi tajwa
Kwenye taarifa ya habari leo saa mbili nikiwa bar niliona Kuna taasisi Fulani Leo imeipa wizara ya kilimo $40,000 nikamuona tajiri Bashe (the new bilionea in town, thanks to the sugar scandal) kwa unyooonge kabisa anasema hizo pesa zisitumike kuendeshea seminar.4. Ummy Mwalimu
5. Aweso
6. Masauni
7. Suleman Jafo
8. Ashatu
9. Huseni Bashe
Nakuunga mkono ! . Yatakiwa aondoke kwanza 1. mwigulu nchemba halafu 2. Nape Nauye. January alipokuwa wizara ya nishati alikuwa mtu wa hovyo ila huko mambo ya nje naona kama anajitahidi kiasi.No. 2 atangulie, haiwezekani akebehi wananchi eti ....wahamie Burundi.
😆😆😆Kwenye taarifa ya habari leo saa mbili nikiwa bar niliona Kuna taasisi Fulani Leo imeipa wizara ya kilimo $40,000 nikamuona tajiri Bashe (the new bilionea in town, thanks to the sugar scandal) kwa unyooonge kabisa anasema hizo pesa zisitumike kuendeshea seminar.
Bar maid mmoja akawa anashangaa na kusema ' hivi Bashe bado ni waziri???'
Yaani wewe hata mwigulu unaona Yuko vizuri ?!Mbona hao uliowataja wako vizuri ndugu Kwa ujumla sijaona shida kwa hao viongozi tajwa